Rooney aitisha kikao cha dharura Man United
Baada ya matokeo mabaya kwa klabu ya Manchester United kwa miaka 17, nahodha wa klabu hiyo, Wayne Rooney ameitisha kikao cha dharura kwa wachezaji wote na kuwataka wabadilike.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Majaliwa aitisha kikao cha kazi cha Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO
10 years ago
Dewji Blog09 May
Rais aitisha kikao cha wakuu wa EAC kujadili Burundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi hizo tano wa EAC, Jumatano ijayo, Mei 13, 2015, kujadili hali ilivyo katika Burundi, kwa kadri nchi hiyo inavyojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Juni 26, mwaka huu.
Rais Kikwete ametangaza habari ya kuitisha mkutano huo wakati alipozungumza na waandishi wa habari katika Makao...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Rooney kuiongezea nguvu Man United
MANCHESTER, UNITED
NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.
Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-kLp3HY6KEZE/UwgqMXLi_BI/AAAAAAAA5yI/7n9buMmArDo/s1600/article-2564990-1BB6CAA200000578-586_634x393.jpg?width=640)
HATIMAYE ROONEY AJITIA PINGU MAN UNITED
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Rais Kikwete aongoza kikao cha Dharura cha wakuu wa nchi za EAC
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w0Z1fyUMvEo/VZqXLsog4YI/AAAAAAAHnVQ/4oVdlx93CXg/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania07 Aug
CUF yaitisha kikao cha dharura
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Utendaji ya Taifa na Baraza Kuu la Uongozi ili kutafuta mwanachama atakayekaimu nafasi ya Profesa Ibrahim Lipumba katika kipindi cha mpito.
Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika Jumapili Agosti 9, mwaka huu ingawa haijaelezwa mahali kitakapofanyika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Unguja jana, Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Ismail Jussa Ladhu, alisema CUF...
10 years ago
BBCSwahili28 May
FIFA:Blatter aongoza kikao cha dharura