Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rooney aitisha kikao cha dharura Man United

Baada ya matokeo mabaya kwa klabu ya Manchester United kwa miaka 17, nahodha wa klabu hiyo, Wayne Rooney ameitisha kikao cha dharura kwa wachezaji wote na kuwataka wabadilike.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Majaliwa aitisha kikao cha kazi cha Baraza la Mawaziri

IMGS5561

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mawaziri na Naibu Mawaziri  katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha  Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS5562

IMGS5555

IMGS5554

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais aitisha kikao cha wakuu wa EAC kujadili Burundi

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi hizo tano wa EAC, Jumatano ijayo, Mei 13, 2015,  kujadili hali ilivyo katika Burundi, kwa kadri nchi hiyo inavyojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Juni 26, mwaka huu.

Rais Kikwete ametangaza habari ya kuitisha mkutano huo wakati alipozungumza na waandishi wa habari katika Makao...

 

9 years ago

Mtanzania

Rooney kuiongezea nguvu Man United

Rooney_1711416aMANCHESTER, UNITED

NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.

Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.

Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United

Wiki mbili zilizopita mshambuliaji na nahodha wa Manchester United, England, Wayne Rooney alitimiza miaka kumi ya maisha akiwa Old Trafford. Ni miaka yenye mafanikio, changamoto nyingi kwake kama mwanamichezo.

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE ROONEY AJITIA PINGU MAN UNITED

Wayne Rooney akisani Mkataba mpya Manchester United. MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amemshukuru kocha David Moyes jana usiku baada ya kujihakikishia mustakabali wake katika klabu ya Manchester United, kufuatia kusaini Mkataba mpya wa miaka mitano ambao utamfanya apate mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki. Rooney aliwaambia United alitaka kuondoka mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kutofautiana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Sir...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza kikao cha Dharura cha wakuu wa nchi za EAC

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakati wa mkutano wa dharura wa wakuu wan chi za jumuiya hiyo uliofanyika ikulu jijini Dar es salaam leo.(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje Balozi Liberata Mulamula kwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni wakati kiongozi huyo wa Uganda alipowasili ikulu jijini Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

CUF yaitisha kikao cha dharura

jussaNA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Utendaji ya Taifa na Baraza Kuu la Uongozi ili kutafuta mwanachama atakayekaimu nafasi ya Profesa Ibrahim Lipumba katika kipindi cha mpito.
Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika Jumapili Agosti 9, mwaka huu ingawa haijaelezwa mahali kitakapofanyika.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Unguja jana, Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Ismail Jussa Ladhu, alisema CUF...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter aongoza kikao cha dharura

Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter, ameongoza kikao cha dharura cha wanakamati wakuu wa shirikisho hilo huko Zurich Uswisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani