Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE ROONEY AJITIA PINGU MAN UNITED

Wayne Rooney akisani Mkataba mpya Manchester United. MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amemshukuru kocha David Moyes jana usiku baada ya kujihakikishia mustakabali wake katika klabu ya Manchester United, kufuatia kusaini Mkataba mpya wa miaka mitano ambao utamfanya apate mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki. Rooney aliwaambia United alitaka kuondoka mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kutofautiana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Sir...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Rooney kuiongezea nguvu Man United

Rooney_1711416aMANCHESTER, UNITED

NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.

Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.

Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United

Wiki mbili zilizopita mshambuliaji na nahodha wa Manchester United, England, Wayne Rooney alitimiza miaka kumi ya maisha akiwa Old Trafford. Ni miaka yenye mafanikio, changamoto nyingi kwake kama mwanamichezo.

 

9 years ago

Mwananchi

Rooney aitisha kikao cha dharura Man United

Baada ya matokeo mabaya kwa klabu ya Manchester United kwa miaka 17, nahodha wa klabu hiyo, Wayne Rooney ameitisha kikao cha dharura kwa wachezaji wote na kuwataka wabadilike.

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United …

Bado hali sio nzuri ndani ya klabu ya Man United, haikatishi siku bila mitandao ya kijamii, magazeti na tovuti kujadili juu ya kibarua cha kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal, mengi yameandikwa na kwakuwa Uingereza ndio Ligi inayopendwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo vina nguvu, basi usishangae kuona nakuletea stori nyingine […]

The post Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

CloudsFM

HOFU YA UGAIDI KENYA YASABABISHA TUNDA MAN KUFUNGWA PINGU

Kutokana na mfululizo wa matukio ya kigaidi nchini Kenya, ulinzi umeongezeka maradufu kuhofia mashambulizi ya ghafla yanayofanywa na magaidi wanaotumia silaha za kivita, sasa weekend iliyopita mjini Mombasa,Kenya Captain Tunda Man kutoka kundi la TipTop Connection anawekwa chini ya ulinziwa polisi huku akiwa amefungwa pingu kwa dakika 45. Zaidi huyu hapa captain wa bongo flava, Tunda Man anafunguka na clouds fm.

 

5 years ago

Goal.Com

Rooney could manage Manchester United - Solskjaer

Rooney could manage Manchester United - Solskjaer  Goal.comEight Man United changes expected for FA Cup tie against Derby County  The Peoples PersonUnder-23 stars join Manchester United training ahead of FA Cup game  United In Focus - Manchester United FC NewsMan Utd still searching for Rooney replacement  Goal.comMan Utd news: Marcus Rashford and Paul Pogba injury updates from Ole Gunnar Solskjaer  Metro.co.ukView Full coverage on Google News

 

10 years ago

TheCitizen

Chelsea preserve lead, Rooney off in United win

Premier League leaders Chelsea conserved their three-point advantage by beating Aston Villa 3-0 on Saturday, while Wayne Rooney was sent off as Manchester United edged West Ham United.

 

5 years ago

The National

No happy reunion for Wayne Rooney as Manchester United beat Derby in FA Cup

No happy reunion for Wayne Rooney as Manchester United beat Derby in FA Cup  The NationalView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani