HATIMAYE ROONEY AJITIA PINGU MAN UNITED
![](http://4.bp.blogspot.com/-kLp3HY6KEZE/UwgqMXLi_BI/AAAAAAAA5yI/7n9buMmArDo/s1600/article-2564990-1BB6CAA200000578-586_634x393.jpg?width=640)
Wayne Rooney akisani Mkataba mpya Manchester United. MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amemshukuru kocha David Moyes jana usiku baada ya kujihakikishia mustakabali wake katika klabu ya Manchester United, kufuatia kusaini Mkataba mpya wa miaka mitano ambao utamfanya apate mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki. Rooney aliwaambia United alitaka kuondoka mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kutofautiana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Sir...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Rooney kuiongezea nguvu Man United
MANCHESTER, UNITED
NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.
Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Changamoto, mafanikio ya Rooney ndani ya Man United
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Rooney aitisha kikao cha dharura Man United
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United …
Bado hali sio nzuri ndani ya klabu ya Man United, haikatishi siku bila mitandao ya kijamii, magazeti na tovuti kujadili juu ya kibarua cha kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal, mengi yameandikwa na kwakuwa Uingereza ndio Ligi inayopendwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo vina nguvu, basi usishangae kuona nakuletea stori nyingine […]
The post Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
CloudsFM14 Aug
HOFU YA UGAIDI KENYA YASABABISHA TUNDA MAN KUFUNGWA PINGU
Kutokana na mfululizo wa matukio ya kigaidi nchini Kenya, ulinzi umeongezeka maradufu kuhofia mashambulizi ya ghafla yanayofanywa na magaidi wanaotumia silaha za kivita, sasa weekend iliyopita mjini Mombasa,Kenya Captain Tunda Man kutoka kundi la TipTop Connection anawekwa chini ya ulinziwa polisi huku akiwa amefungwa pingu kwa dakika 45.
Zaidi huyu hapa captain wa bongo flava, Tunda Man anafunguka na clouds fm.
5 years ago
Goal.Com05 Mar
Rooney could manage Manchester United - Solskjaer
10 years ago
TheCitizen29 Sep
Chelsea preserve lead, Rooney off in United win
5 years ago
The National12 Mar
No happy reunion for Wayne Rooney as Manchester United beat Derby in FA Cup
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd