RUBANI LUBITZ ALIPATA MAJINAMIZI
Mchumba wa zamani wa rubani aliyedondosha ndege kusudi katika milima ya Ufaransa ya Alps, ananukuliwa na gazeti moja la Ujerumani akisema kuwa Andreas Lubitz alikuwa akipanga njama kubwa.Mwanamke huyo, muandalizi katika ndege, ambaye alikutana na rubani huyo kazini mwaka jana, aliliambia gazeti la
Bild kwamba rubani Lubitz alisema mara nyingi kwamba atafanya kitu ili kila mtu amkumbuke yeye ni nani.
Alimuelezea kuwa alikuwa mtu aliyekuwa akiteseka kichwani.
Mwandishi wa habari aliyemhoji dada...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Rubani Lubitz akipata majinamizi
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Msanii KEISHA alipata ajali akitokea chuoni CBE
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/03/keisha.jpg)
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba, Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
“Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Kumbe Dully alipata taarifa za kifo cha baba yake akijiandaa kupanda stejini kufanya shoo
Habari zinasema kuwa msanii wa Bongo Fleva,Dully Sykes alipata taarifa za msiba wa baba yake wakati akijiandaa kupanda stejini kwenye shoo moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii maeneo ya Mbezi Luis,jijini Dar.
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rubani alikuwa na matatizo ya kiakili
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Nyumba ya rubani wa ndege yachunguzwa
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Rubani wa Urusi aokolewa Syria