Msanii KEISHA alipata ajali akitokea chuoni CBE
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba, Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
“Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RBdNdn5-tIY/VZ5S6hRUb1I/AAAAAAAAd4w/DUStgosScYs/s72-c/KEISHA.jpg)
MSANII WA KIZAZI KIPYA KEISHA AJITOSA KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM DODOMA,SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RBdNdn5-tIY/VZ5S6hRUb1I/AAAAAAAAd4w/DUStgosScYs/s640/KEISHA.jpg)
Repost @kshertzbongoflava Habari za asubuhi ndugu zangu rafiki zangu mashabiki zangu na media zote nchini.najua wengi mnajiuliza maswali mengi sana juu yangu kwanini nimeamua kuingia kwenye siasa lakini leo naomba nifunguke na kuwaambia kitu.mimi kama mlemavu wa ngozi najikubali najipenda na ninajiamini lakini yote tisa napigana kwa uhuru na amani ambayo tunastahili kuipata kutoka nchini kwetu.nilipoanza kupost picha zangu za siasa kuna ambao walinipongeza na kuna ambao walinisema kwamba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbLCz41BMWGSpCrnGHvq-IfYJEdo9dEpxVpUSmSjOLgCZ0XP3rBnVe9jYvxxTmPOSwHd5WFoMO8M0V9JAZSytuCO/KEISHA.jpg?width=650)
HUYU NDIYE 'SECOND BORN' WA MSANII KEISHA
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyNmmBm8AqbdES-PyD-99*Mp4zNktCD653L3Yy*rooq0ZlxeTluggbH04uQbXKe-XKkw1Sa55pNwqQCiOxE7UuP/msanii.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI AFARIKI KWA AJALI
10 years ago
Vijimambo29 Mar
RUBANI LUBITZ ALIPATA MAJINAMIZI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/28/150328145433_lubitz_304x171_afp_nocredit.jpg)
Mchumba wa zamani wa rubani aliyedondosha ndege kusudi katika milima ya Ufaransa ya Alps, ananukuliwa na gazeti moja la Ujerumani akisema kuwa Andreas Lubitz alikuwa akipanga njama kubwa.Mwanamke huyo, muandalizi katika ndege, ambaye alikutana na rubani huyo kazini mwaka jana, aliliambia gazeti la
Bild kwamba rubani Lubitz alisema mara nyingi kwamba atafanya kitu ili kila mtu amkumbuke yeye ni nani.
Alimuelezea kuwa alikuwa mtu aliyekuwa akiteseka kichwani.
Mwandishi wa habari aliyemhoji dada...
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Kumbe Dully alipata taarifa za kifo cha baba yake akijiandaa kupanda stejini kufanya shoo
Habari zinasema kuwa msanii wa Bongo Fleva,Dully Sykes alipata taarifa za msiba wa baba yake wakati akijiandaa kupanda stejini kwenye shoo moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii maeneo ya Mbezi Luis,jijini Dar.
10 years ago
Mtanzania13 May
Keisha: Sitamani kuzaa tena
NA SHARIFA MMASI
BAADA ya mashabiki wake kumtaka aongeze mtoto wa tatu, msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shaban (Keisha), ameibuka na kuweka wazi kwamba hana mpango wa kuzaa tena kwa sasa.
Keisha aliliambia MTANZANIA kuwa, sababu kubwa inayomfanya asitamani kuongeza mtoto kwa sasa ni kutokana na kuwa na watoto wawili wa kiume wenye umri mdogo.
“Najua watu wengi wanapenda watoto na hata mashabiki wangu wanatamani sana niendelee kuzaa, kiukweli bado nahitaji kulea madume yangu, kwani umri wao...
10 years ago
IPPmedia05 Jul
Songbird Keisha bids for Dodoma Special Seat
IPPmedia
IPPmedia
Singer Keisha at The Guardian Limited offices in Mikocheni when she came to announce the move. Bongo flavor artist Khadija Shabani well known as Keisha, has now decided to take a break and contest for Dodoma Region to become a Member of ...