Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rubani Lubitz akipata majinamizi

Mchumba wa zamani wa rubani wa ndege iliyoaunguka Alps, asema rubani Lubitz alikuwa akiteseka kichwani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RUBANI LUBITZ ALIPATA MAJINAMIZI


Mchumba wa zamani wa rubani aliyedondosha ndege kusudi katika milima ya Ufaransa ya Alps, ananukuliwa na gazeti moja la Ujerumani akisema kuwa Andreas Lubitz alikuwa akipanga njama kubwa.Mwanamke huyo, muandalizi katika ndege, ambaye alikutana na rubani huyo kazini mwaka jana, aliliambia gazeti la
Bild kwamba rubani Lubitz alisema mara nyingi kwamba atafanya kitu ili kila mtu amkumbuke yeye ni nani.
Alimuelezea kuwa alikuwa mtu aliyekuwa akiteseka kichwani.
Mwandishi wa habari aliyemhoji dada...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Kajala Akipata Matibabu Hospitali

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muongozaji wa filamu maarufu Lamata ambaye ni rafiki wa karibu wa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ameweka picha hii  ya ikimuonyesha Kajala akiwa hospital amelala kwenye kitanda maalumu tayari kuingizwa kwenye kifaa cha kitabibu zaidi.

Kwenye picha hiyo Lamata alimpa pole Kakala  na kumpa matumaini kwa kuandika;

‘Pole @new_kajala utapona mungu yupo nawe siku zote za maisha yako’

Bongomovies.com haijathibitisha kama ni kweli au ni maigizo.

Kama ni...

 

9 years ago

Vijimambo

MTOTO BRICE AKIPATA UKODAK MOMENT

 Mapozi ya Brice Mallongo katika pichaBrice akipata ukodak moment nae akiwa hamwangalii mpiga picha

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Fahamu kinachotokea ndani ya mwili mtu akipata virusi hivi

Mtu anahisi vipi anapokuwa coronavirus, virusi hivi vitakuathiri namna gani na tiba ikoje?

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif kuifungua Zanzibar kiuchumi na kibiashara pindipo akipata ridhaa za wananchi

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wafuasi na wapenzi wa Chama hicho katika viwanja vya Kwawazee mjini Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwatambulisha na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani kwa majimbo ya Amani na Magomeni katika viwanja vya Kwawazee mjini Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C: Nina uhakika Alikiba akipata support ya Diamond anaweza kufika mbali

Ray C ambaye siku chache zilizopita ameachia wimbo mpya baada ya kimya cha muda mrefu, ameweka wazi kile anachotamani kukiona baina ya wasanii wawili wenye mashabiki wengi Tanzania, Alikiba na Diamond. “Wenzetu wasanii wa Nigeria wanashirikiana kwa kila hali na ndio maana wanafika mbali,” alisema Ray C kupitia Clouds TV. “ Wasanii wa Tanzania hatuna […]

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA AKIPATA CHAKULA CHA USIKU NDANI YA ARDHI YA BABA YAKE

Beaming: A happy Barack Obama joined a family dinner with his step-grandmother Mama Sarah, to his left, and half-sister Auma, to his right, at a family meal in Nairobi, Kenya
State occasion: The family gathering came as Obama made his first visit to Kenya as president
Big meeting: Obama went to the meal in Nairobi at the hotel where he was staying soon after landing in the capital
Some three-dozen people were at the meal sitting round the President at the Villa Rosa Kempinski hotel, where he is...

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!

Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI ALI KARUME AKIPATA PICHA NA BAADHI AFISA UBALOZI NA VINGOZI WA TAMCO NA WATNZANIA WENGINEO

Balozi Ali Karume (katikati mwenye suti nyeusi) na Kanali Ruta ( wapili kutoka kulia) katika picha ya pamoja na baadhi ya vingozi wa TAMCO, Tanzania Muslim Community, DMV Watoto wa kitanzania wakiwa na wageni waalikwa na viongozi  wa TAMCO katika picha ya pamoja, TAMCO haiko nyuma kuwaandaa watoto wao ili kuhakikisha urithi huu watauendeleza baadaye
 Meya wa DC, Saleh Mohammed katika  na balozi Ali Karume kulia iliopigwa katika sherehe za Eid iloandaliwa na Tanzania Muslim Community TAMCO

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani