Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C: Nina uhakika Alikiba akipata support ya Diamond anaweza kufika mbali

Ray C ambaye siku chache zilizopita ameachia wimbo mpya baada ya kimya cha muda mrefu, ameweka wazi kile anachotamani kukiona baina ya wasanii wawili wenye mashabiki wengi Tanzania, Alikiba na Diamond. “Wenzetu wasanii wa Nigeria wanashirikiana kwa kila hali na ndio maana wanafika mbali,” alisema Ray C kupitia Clouds TV. “ Wasanii wa Tanzania hatuna […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAY RICE ASHINDA RUFAA SASA ANAWEZA KUCHEZA

Ray RiceRay Rice
Mchezaji wa zamani wa timu ya football ya Baltimore Ravens Ray Rice ameshinda rufaa yake aliyokua amefungiwa na chama cha mchezo huo NFL kucheza mchezo huo wa Football ambao ni maarufu nchini Marekani
Mchezaji Ray Rice sasa anaweza kujiunga na timu yeyote baada ya mahakama kuondoa pingamizi alilokua amewekewa na NFL.
Ray Rice alifungiwa mechi 2 mwezi Septemba mwaka huu baada yakubainika kumpiga wakati huo akiwa mchumba wake Janay. Na baada ya video kutoka hadharani kwenye tv na...

 

10 years ago

Bongo5

Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali

Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Records, Bob Junior amefunguka na kutoa sababu ya kwanini nyimbo zake nyingi za sasa kutokuwa na uhai mrefu kama za mwanzo. Bob Junior Bob Junior aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Oyoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa, muziki wake kwa sasa hivi unaharibiwa na mitandao ya kijamii. “Nyimbo nyingi hazi-play sana […]

 

9 years ago

GPL

CHUCHU AWEWESEKA KUWA MBALI NA RAY

Imelda mtema MAHABA popote! Msanii nyota wa sinema za Bongo, Chuchu Hans ametoa dukuduku lake la moyoni akisema kwamba, anamkumbuka sana mchumba wake ambaye pia ni msanii wa filamu, Vincet Kigosi ‘Ray’ ambapo kwa sasa wapo mbalimbali kutokana na misafara ya kampeni za siasa kuelekea uchaguzi mkuu, Oktoba 25, mwaka huu hivyo kumfanya aweweseke. Msanii nyota wa sinema za Bongo, Chuchu Hans. Akichezesha taya na Amani...

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote

Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.

Hivi karibuni Diamond aliwashangaza mashabiki wake baada ya kuachia wimbo wake mpya kwenye mtandao wa You Tube wenye asili ya mduara uutwao ‘’Nasema Nawe’’ambao amemshirikisha Malkia wa Mipasho,Khadija Kopa. ‘’Namshukuru Mungu amenijalia kipaji kwani nina uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote ule na pia kupitia Video ya wimbo huu nitakuwa...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND: NINA HOFU YA KUNYANG'ANYWA TIFFAH

Musa mateja Kazi ipo! ‘Kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amekumbwa na hofu ya kunyang’anywa mwanaye anayemuita malkia, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ baada ya mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kutimka naye kwenda kwao nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’. Habari kutoka ndani ya familia ya staa huyo zilieleza kwamba, wikiendi iliyopita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond

MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani