Ray C: Nina uhakika Alikiba akipata support ya Diamond anaweza kufika mbali
Ray C ambaye siku chache zilizopita ameachia wimbo mpya baada ya kimya cha muda mrefu, ameweka wazi kile anachotamani kukiona baina ya wasanii wawili wenye mashabiki wengi Tanzania, Alikiba na Diamond. “Wenzetu wasanii wa Nigeria wanashirikiana kwa kila hali na ndio maana wanafika mbali,” alisema Ray C kupitia Clouds TV. “ Wasanii wa Tanzania hatuna […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Nov
RAY RICE ASHINDA RUFAA SASA ANAWEZA KUCHEZA
![Ray Rice](http://a.espncdn.com/photo/2014/0909/nfl_g_rice2_cr_300x200.jpg)
Mchezaji wa zamani wa timu ya football ya Baltimore Ravens Ray Rice ameshinda rufaa yake aliyokua amefungiwa na chama cha mchezo huo NFL kucheza mchezo huo wa Football ambao ni maarufu nchini Marekani
Mchezaji Ray Rice sasa anaweza kujiunga na timu yeyote baada ya mahakama kuondoa pingamizi alilokua amewekewa na NFL.
Ray Rice alifungiwa mechi 2 mwezi Septemba mwaka huu baada yakubainika kumpiga wakati huo akiwa mchumba wake Janay. Na baada ya video kutoka hadharani kwenye tv na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-vL9Pf3ulZ4/default.jpg)
10 years ago
Bongo530 Oct
Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*JBqkNQbAiZU23OUnl*5DfzOE6a*CYUrS2oaUJBkFVTawYC*9Rc*c24VXlXOk-sLhN5gR0QtANjJCjFOuS58Ru/JUMAMOSI.jpg)
CHUCHU AWEWESEKA KUWA MBALI NA RAY
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFUl8SfUpX0LPWOBpPf9HXCptM6dHQVBzJ8urtM4vtmSJTSKx-NI1AoUOjqXo1vfMZEd-UKYOsSjdANTAlrj3S4P/zari.jpg?width=650)
DIAMOND: NINA HOFU YA KUNYANG'ANYWA TIFFAH
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....