RAY RICE ASHINDA RUFAA SASA ANAWEZA KUCHEZA
Ray Rice
Mchezaji wa zamani wa timu ya football ya Baltimore Ravens Ray Rice ameshinda rufaa yake aliyokua amefungiwa na chama cha mchezo huo NFL kucheza mchezo huo wa Football ambao ni maarufu nchini Marekani
Mchezaji Ray Rice sasa anaweza kujiunga na timu yeyote baada ya mahakama kuondoa pingamizi alilokua amewekewa na NFL.
Ray Rice alifungiwa mechi 2 mwezi Septemba mwaka huu baada yakubainika kumpiga wakati huo akiwa mchumba wake Janay. Na baada ya video kutoka hadharani kwenye tv na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Dec
Ray C: Nina uhakika Alikiba akipata support ya Diamond anaweza kufika mbali
10 years ago
VijimamboSHEIKH PONDA ASHINDA RUFAA YAKE
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: SHEIKH PONDA ASHINDA RUFAA YAKE
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
10 years ago
Bongo Movies05 Feb
JB na Ray Kucheza Filamu Wakiwa Kama Watoto wa King Majuto
Ndani ya mwaka huu panapo majaliwa, tutajionea filamu kali kutokakwa wakali wa filamu wa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’,Vicent Kigosi ‘Ray’na King Majuto.
Akidokeza kuhusu ujio huo, JB alisema kwenye filamu hiyo yeye na Ray watacheza kama watoto wa King Majuto na kwasasa wanatafuta mwigizaji wa kike ili mpango mzima ukamilike.
“Panapo uzima tutakuwa na filamu ya pamoja na king majuto na mwigizaji mmoja wa kike ambaye bado tunamtafuta.mimi na ray tutakuwa watoto wa king”. <span...
9 years ago
MichuziMKAZI WA TARIME MKOANI MARA ASHINDA SHILINGI MILIONI 20 BAADA YA KUCHEZA BAHATI NASIBU YA BENKI YA I & M LTD
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Prince Charles sasa anaweza kutangamana baada ya kukutwa na virusi vya corona juma lililopita
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Serikali sasa kutoa hatima ya Twiga Stars kucheza Afrika
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF