Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKAZI WA TARIME MKOANI MARA ASHINDA SHILINGI MILIONI 20 BAADA YA KUCHEZA BAHATI NASIBU YA BENKI YA I & M LTD

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya  I&M, Baseev Mohamed (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh.milioni 20, Mkuu wa Idara ya Biashara wa benki hiyo, Svikanth T,  kwa niaba ya mteja wa benki hiyo, Jumanne Francis Mchenje wa Tarime mkoani Mara anayeishi jijini Mwanza aliyejinyakulia kitita hicho cha fedha baada ya kushinda bahati nasibu ya kwanza inayoendeshwa na benki hiyo kwa ajili ya kuongeza wateja wapya iliyofanyika Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Masoko, Ruheen...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mkazi wa Bukoba ashinda milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’

 Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Jane Matinde(kulia)akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa droo ya promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’ iliyochezeshwa Jumanne jioni katika ofisi za makao makuu ya Airtel. Bw. Rashid Jackob Kagombola, mkazi wa Bukoba  mkoani Kagera alitangazwa mshindi wa shilingi milioni 50. Kushoto ni Mkaguzi mwandamizi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid. Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania Jane Matinde (kulia) akimwonyesha Mkaguzi...

 

10 years ago

Michuzi

MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS

Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Irene Mrema (kushoto) mkazi wa Kawe Jijijini Dar es Salaam akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) na Balozi wa promosheni hiyo Hillary Daud”Jaymillions”kulia baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MKAZI WA BUKOBA ASHINDA NISSAN DOUBLE CABIN PICK UP KATIKA PROMOSHENI YA WEKA UPEWE YA BENKI YA NBC

Ofisa Kumbukumbu wa Benki ya NBC, Telesfori Gabriel (wa tatu kushoto) akibonyeza kitufe cha kompyuta ili kupata mshindi wa droo kubwa ya promosheni ya Weka Upewe ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Mkazi wa Bukoba, Josephat Gerald Ruyongo ameibuka kidedea wa zawadi ya gari jipya aina ya Nissan Double Cabin Pick Up 2014 yenye thamani ya zaidi ya shs milioni 54.Wengine kutoka kushoto Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Mrisho Millao, Meneja katika Kitengo cha Bidhaa za Kuwekeza na...

 

10 years ago

GPL

MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS‏

Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Irene Mrema (kushoto) mkazi wa Kawe Jijijini Dar es Salaam akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) na Balozi wa promosheni hiyo Hillary...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA

  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mashine 763 za bahati nasibu zilizokamatwa zaharibiwa

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imeharibu mashine 763 za michezo ya bahati nasibu ambazo hutumika katika kasino mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam. Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda. Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora MapundaMshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule akiwa ndani ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba

1.Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa gazeti la Uwazi eneo la Tandale sokoni akimwelekeza kujaza kuponi ili kuweza kushriki Bahari Nasibu hiyo.Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.

2.Msomaji wa Gazeti la Uwazi akishiriki kuweka kuponi yake baada ya kumaliza taratibu za kujaza kuponi iliyo katika gazeti hilo.Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.

3.Baadhi ya wakazi wa Tandale sokoni wakishudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki Bahati Nasibu.Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.

4.Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wapili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti la Uwazi namna ya kujaza kuponi mara baada ya kununua gazeti kwa muuzaji.

Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani