MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-TKnp9by2igQWqTOmgOYNQ247OzZ-zcCo8Z7rTbrQVZyRs4kqB4E5klWRfT34x3SuP*Jfn9Si1xwNA4ypfAXL8/001.IRENEJAY.jpg?width=650)
Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Irene Mrema (kushoto) mkazi wa Kawe Jijijini Dar es Salaam akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) na Balozi wa promosheni hiyo Hillary...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s72-c/001.IRENE%2BJAY.jpg)
MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s1600/001.IRENE%2BJAY.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYgl3*MpUKOMv3aZvsf8-5t1wzdXKHToo4EVFQgQEPtueOaQsTRzPRKfSNvgDEXEm6Xi4hKPNmjmvI5Z9xIho3R/002.jpg?width=650)
MKAZI WA KAWE JIJINI DAR AJISHINDIA KITITA CHA TSH MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (Kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati alipokuwa akimtangaza mshindi wa shilingi milioni 100Â mwishoni mwa wiki kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na kampuni hiyo, ambapo Irene Mrema mkazi wa Kawe jijini Dar es Salam(30) alijishindia kitita hicho.Kushoto ni Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini Jehud...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WhQWBqZ5_FI/VTN1F_GjPuI/AAAAAAAHR9w/rAilCeOPvgo/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkazi wa Kawe jijini Dar ajishindia Kitita cha Tsh milioni 100 za Jaymillions
Mkazi wa Kawe jijijini Dar es Salaam Irene Mrema ameibuka kuwa mshindi wa kitita cha fedha taslimu shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania. Mrema ambaye ni mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) amesema kuwa amefurahia ushindi huu na ana imani kitita alichojishindia kwa kiasi kikubwa kitayabadilisha maisha yake kuwa bora zaidi.”Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniona na nashukuru Vodacom kwa kuleta promosheni kwa ushindi huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZLvbz5civI0yocWVPmeKpYEZQvHlobS441Pd-oVv5qt1Wj6w9pQMqI-OeHtGz3AlpMo0VUXYS*Ny6d7DPtoPSJ/001.HUNDI.jpg?width=650)
MSHINDI MWINGINE WA MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS AKABIDHIWA KITITA CHAKE
Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hamisi Khalid (kushoto) mkazi wa Mtwara akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo hafla hiyo ilifanyika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ii29kqa2Kq22ZyVBamGJVPOFEA4n5K4Cj5nYdcCHiiHAT1C4WTsqrvyNEAq0KNX*bFA8i94qttMM3czthsbBvcD/001.JP.jpg)
MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 10 KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama(kushoto) akimkabidhi kitita cha shilingi Milioni 10/-James Mangu ambaye ni mjasiliamali mkazi wa Magu mkoa wa Mwanza ,alizojishindia kupitia promosheni ya Jay Millions inayoendeshwa na kampuni hiyo, wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika tawi la Benki ya mkoani humo leo.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay au AUTO kwenda 15544.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pc0aEieXWss/VM4NKDMAxzI/AAAAAAAHAoE/Z-uwE_ENHuE/s72-c/002.KILOLO.jpg)
Mshindi wa milioni 100 za Jaymillions kukabidhiwa kitita cha fedha alizojishindia
![](http://2.bp.blogspot.com/-pc0aEieXWss/VM4NKDMAxzI/AAAAAAAHAoE/Z-uwE_ENHuE/s1600/002.KILOLO.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMtqvMlVuFdpDOxIknp0qWlJcxg8EzYuCgG*aD-vNq6ILsh2x9F8gde46cq6h9R5-zna2TyQ-7qwRJ8Hv78zXj3v/001.jpg?width=650)
MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 1/- KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA BALOZI WA PROMOSHENI HIYO
Balozi wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’na Claudia Mapunda(kulia)ambaye aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi milioni 1/-kupitia promosheni hiyo wakihesabu fesha hizo kabla ya Balozi huyo kumkabidhi rasmi kitita chake katika hafla iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Ili  mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ScDfzDGFdfoc7Iq4s74hkKZMgU5XsfBhSn7a7BlrD4zR5xhsPOmViINDf8Z96hBX6ZOa48skUuhmt*XLiirZWy9WFuQmvyyJ/001.KILOLO.jpg?width=650)
MSHINDI WA MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS KUKABIDHIWA KITITA CHAKE
Mshindi wa Milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Uwezo Magedenge (22) akiwa nyumbani kwao kijiji cha Pamilini Kilolo Mkoa wa Iringa akiendelea na shughuri zake za nyumbani wakati alipotembelewa na maofisa wa Vodacom Tanzania kijijini hapo kwa ajili ya kumchukua na kumpeleka jijini Dar es Salaam kwa makabidhiano rasmi ya kitita chake hivi karibuni.
Meneja...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JdqtfpX2VlA/VSzk_5JAB4I/AAAAAAAHREI/hdoWJjVEOt0/s72-c/001.HUNDI.jpg)
Mshindi mwingine wa milioni 100 za Jaymillions akabidhiwa kitita chake
![](http://3.bp.blogspot.com/-JdqtfpX2VlA/VSzk_5JAB4I/AAAAAAAHREI/hdoWJjVEOt0/s1600/001.HUNDI.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania