SHEIKH PONDA ASHINDA RUFAA YAKE
Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo huku wakipaza sauti baada Sheikh Ponda kushindarufaa ya kupinga hukumu ilitolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuvamia na kujimilikisha kwa nguvu kiwanja cha Markaz Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Hukumu hiyo ilitolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Victoria Nongwa, Mei 9, 2013. (Picha na Francis Dande)
Wafuasi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: SHEIKH PONDA ASHINDA RUFAA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK42oUteHb0J2R0jMgCzYQxosZIalUNhCGgmR8SeA6S9K8WScbFyg2gE2D3Cr6qfdpr9q34iSgQk2wBRM5MVePE*/BREAKINGNEWS.gif)
SHEIKH PONDA ASHINDA KESI
10 years ago
GPL28 Nov
SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Sheikh Ponda ‘alia’ na pingamizi dhidi yake
10 years ago
GPLRUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
GPLSHEIKH PONDA APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Maskini Sheikh Ponda
JITIHADA za Sheikh Ponda Issa Ponda, kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ifanyie marejeo uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro Oktoba mosi mwaka jana, zimegonga mwamba...
11 years ago
Mwananchi01 May
Sheikh Ponda kusota rumande
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Hukumu ya Sheikh Ponda Novemba 27