Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
10 years ago
Mwananchi31 May
Lowassa: Nina ari, shauku na uwezo wa kuongoza Tanzania
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amesema ana ari, shauku na uwezo wa kuongoza Taifa wakati alipotangaza nia yake ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Dk Tulia Ackson: Sikubebwa bali nina uwezo na uzoefu wa kutosha
Kwa zaidi ya wiki sasa jina la Dk Tulia Akson si geni masikioni mwa Watanzania kutokana na kutawala katika vyombo vya habari, Bungeni, mitandao ya kijamii na hata katika vijiwe mbalimbali nchini.
11 years ago
GPLWARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Baba Watoto Center kilichopo Mburahati kwa Jongo, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Bw. Mgunga Mwamnyenyelwa akizungumzia juu ya kituo hicho kinavyofanya kazi na sababu za kuwakusanya watoto hao katika kituo hicho ikiwa ni pamoja na kuwajengea uelewa zaidi na kuwafundisha vitu mbalimbali kama Ngoma, Sarakasi, Ushonaji ili baadae waweze kuja kujitegemea wenyewe.… ...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Sensa ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi yaja
WANANCHi wa Mkoa wa Kusini Pemba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sensa ya kujua idadi ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi nchini.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFUl8SfUpX0LPWOBpPf9HXCptM6dHQVBzJ8urtM4vtmSJTSKx-NI1AoUOjqXo1vfMZEd-UKYOsSjdANTAlrj3S4P/zari.jpg?width=650)
DIAMOND: NINA HOFU YA KUNYANG'ANYWA TIFFAH
Musa mateja Kazi ipo! ‘Kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amekumbwa na hofu ya kunyang’anywa mwanaye anayemuita malkia, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ baada ya mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kutimka naye kwenda kwao nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’. Habari kutoka ndani ya familia ya staa huyo zilieleza kwamba, wikiendi iliyopita...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
BAADA YA KUACHANA NA DIAMOND AAMUA KUFANYA HAYA JUU YA MALI ALIZOPEWA NA DIAMOND
![](http://api.ning.com/files/1R1gqINM7bxlzUrR3WwslSL-E8TbeHC1JSrbNDKpWvHYhQ*hGsLGGlY*A*9JAwMlII53Jl2VqX4dOUldYfKBDNEL-SD2so7n/wemadivorce.jpg)
![](http://api.ning.com/files/1R1gqINM7bz7AKto1dpaLHEYWo3ihKmTixd6dZOKAzYW*KwQGpjSAHyza2*sj6WKBsjqykFpWvzTTL2JhnqKgb5SZ7UKGZYW/murano111.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wFzQ0ooUPLSmr5RzpKY8KeFygmqSNW2R1vObjqIoR9hgySe9SIsEIYk5Uz7BwzJCGTwmnbht5mndj5b6pnFelmb/psquare.jpg)
P-SQUARE WAKUBALI UWEZO WA DIAMOND
Stori: Musa Mateja
MWACHENI Diamond aitwe Diamond! Hiyo kauli pekee unayoweza kuisema kufuatia wakali wa muziki wa R&B kutoka Nigeria, Peter na Paul Okoye ‘P-Square’ kuukubali uwezo wa kimuziki wa bwa’mdogo kutoka Tandale, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijuma Wikienda linakupa mchapo hatua kwa hatua. Bwa’mdogo kutoka Tandale, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’...
10 years ago
Bongo524 Dec
Ray C: Nina uhakika Alikiba akipata support ya Diamond anaweza kufika mbali
Ray C ambaye siku chache zilizopita ameachia wimbo mpya baada ya kimya cha muda mrefu, ameweka wazi kile anachotamani kukiona baina ya wasanii wawili wenye mashabiki wengi Tanzania, Alikiba na Diamond. “Wenzetu wasanii wa Nigeria wanashirikiana kwa kila hali na ndio maana wanafika mbali,” alisema Ray C kupitia Clouds TV. “ Wasanii wa Tanzania hatuna […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania