CHUCHU AWEWESEKA KUWA MBALI NA RAY
![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*JBqkNQbAiZU23OUnl*5DfzOE6a*CYUrS2oaUJBkFVTawYC*9Rc*c24VXlXOk-sLhN5gR0QtANjJCjFOuS58Ru/JUMAMOSI.jpg)
Imelda mtema MAHABA popote! Msanii nyota wa sinema za Bongo, Chuchu Hans ametoa dukuduku lake la moyoni akisema kwamba, anamkumbuka sana mchumba wake ambaye pia ni msanii wa filamu, Vincet Kigosi ‘Ray’ ambapo kwa sasa wapo mbalimbali kutokana na misafara ya kampeni za siasa kuelekea uchaguzi mkuu, Oktoba 25, mwaka huu hivyo kumfanya aweweseke. Msanii nyota wa sinema za Bongo, Chuchu Hans. Akichezesha taya na Amani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Chuchu Hans:Ninachojua mimi Johari hakuwahi kuwa mpezi wa Ray!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu Chuchu Hans ameyameha hayo kwenye alipokuwa akiohijwa kwenye kipidi cha Take One kinachorushwa na kitucho cha televisheni cha Clouds TV.
“Ninachojua JOHARI hakuwahi kuwa na mahusiano yoyote ya kimapenzi na RAY ila ni Partners in Business tofauti na watu wanavyofahamu"
Chuchu Hans alisisitiza kuwa bado yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji na muongozaji wa filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’mbali na tetesi za zilizoenea kuwa wameteman.
Ray anadaiwa kuwa...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka
Inasemekana penzi kati ya waigizaji Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.
Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.
Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6db7jayaCRoC2zGr2yLUjMhact411lVYXkFF8pObpn6XM8EpRbuVphY8eR*vz5n11j6u0Jq-gEKHNHp8tAJ90H84/ray.jpg?width=650)
RAY, CHUCHU HANS NI PIGO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiaVq52Px9WT2D76KnrYwGLkf6hsi5G-XKRuy6-Y4eAIVd0qqvAWHzhko5EpzwrZiBksUBjYu*NsZbN56ZQ*Yf9K/chuchu.jpg)
CHUCHU: HAPA RAY KAFIKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwF*00tFiC9*CcSUdJ1hOELA3fuHDuHPalNLBjxu2n8s-HmLrovTcwsBuhN5QkWgtaG9FcCiyIkWp2TxaA5exom/VincentKigosi5312.jpg?width=650)
RAY AFICHUA SIRI YA CHUCHU!
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Chuchu: Ray na Johari si Wapenzi
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi,’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
Chuchu amefunguka kupitia Movie Leo na Zamaradi Mketema kuwa watu wamekuwa wakidhani Ray na Johari wana uhusiano wa kimapenzi lakini yeye anavyojua hawana uhusiano bali ni wanafanya kazi kwenye kampuni moja kama wakurugenzi(RJ Film).
‘’Ninachojua mimi Ray...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BMl9*Jv7CjNUmagNWeblx0AQvRSPEnbH4v0pZzLFbN-YrVG8J0k4VwJTkB7JC9nI3-lvu6behrZZGDkgcbRDyb/JUMAMOSI.jpg)
CHUCHU AMFUATA RAY UKAWA