Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saada Mkuya aonya ‘wanaopika’ takwimu

>Serikali imetoa wito kwa mashirika na wadau wa maendeleo nchini kupuuza takwimu zinazotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii, badala yake wafuate zile zinazotolewa na ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kuwa zimefanyiwa utafiti na zinatambulika kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Finance minister Saada Mkuya


IPPmedia
Finance minister Saada Mkuya
IPPmedia
The Constituent Assembly (CA) has so far used almost 27bn/- in tax-payers' money since its start but has achieved little in discussing the draft Constitution, Finance minister Saada Mkuya said yesterday. She said her ministry has been ensuring that the CA ...

 

9 years ago

Vijimambo

Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni

Mgombea ubunge jimbo la Welezo, Waziri wa Fedha , Bi Saada mkuya akimwaga sera katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni jimboni. mkutana ulifanyika jana uwanja wa KimaraMeza kuu ikimsikiliza kwa makini mgombea Ubunge wa jimbo la Weleze Bi Saada Mkuya(hayupo pichani) akijinadi na kumwaga sera. Mkutano huu pia ulihudhuriwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo la Welezo, Hassan Hafidh (wa pili kulia waliokaa)Wanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles


Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles
AllAfrica.com
Zanzibar — The Minister for Finance, Ms Saada Salum Mkuya and the Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, are among several Chama Cha Mapinduzi (CCM) candidates fighting tirelessly to be nominated as flag bearers on the ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Saada Mkuya afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo na Mtaa wa Namanga

01

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...

 

9 years ago

Vijimambo

Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alipowasili Ofisi za tume ya uchafguzi kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la QWelezo na kuiahidi kuleta maendeleo katika jimbo hilo la WELEZO.Waziri wa Fedha , Saada mkuya akitia saini wakati wa kukabidhiwa fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la WelezoAfisa wa Uchaguzi akitoa maelezo kumpatia Waziri Saada Mkuya ya namna ya ujazaji wa fomu za kuwania Ubuinge

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)


Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly wa katikati mwenye Tai ya rangi ya chungwa akiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa na ujumbe kutoka Tanzania( hawapokwenyepicha)mjini Washington DC.

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wakiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC

Waziri wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mhe. Saada Mkuya akutana na Bi.Sayeh pamoja na MCC/Chamber of Commerce

DSC_5383

Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati  akiwa pamoja na ujumbe  kutoka Tanzania walipokutana na ujumbe wa shirikala fedha la kimataifa (hawapo kwenye picha ). Kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha  na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dr. Servacius Likwelile na kushoto ni Gavana wa Benki kuu Prof. Benno Ndulu , akifuatiwa na Gavana msaidizi wa Benki kuu ya Tanzania  Bi. Natu Mwamba.

DSC_5384

Mkurugenzi wa Idara ya Afrika wa IMF kwa nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara Bi. Antoinette...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa na Mh. Saada Mkuya Salum bungeni iko hapa

pic 3

Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum (MB) akionyesha kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mkoba wenye hotuba ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/16 .

pic 2

Waziri wa Fedha Mh.Saada S.Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2015/16.

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA – 2015-16 FINAL.doc

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa fedha Mhe.Saada Mkuya Kujibu Hoja za Wabunge jioni ya Leo

   Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Mwingulu Nchemba kulia akijadiliana na Maofisa wa Wizara ya Fedha,wakati wakitoka kwenye Ukumbi wa Msekwa walikokuwa na kikao cha kuandaa majibu ya Hoja za Wabunge kwa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014-2015.Baada ya mjadala uliochukuwa takribani wiki nzima.Bajeti ya Serikali Ilisomwa na waziri wa Fedha Alhamisi iliyo[pita na Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya nakufuatiwa na uchangiwaji na mjadala kwa kuchangiwa na Wabunge mbalambali.   Waziri wa Fedha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani