Saada Mkuya aonya ‘wanaopika’ takwimu
>Serikali imetoa wito kwa mashirika na wadau wa maendeleo nchini kupuuza takwimu zinazotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii, badala yake wafuate zile zinazotolewa na ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa kuwa zimefanyiwa utafiti na zinatambulika kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia25 Apr
Finance minister Saada Mkuya
IPPmedia
IPPmedia
The Constituent Assembly (CA) has so far used almost 27bn/- in tax-payers' money since its start but has achieved little in discussing the draft Constitution, Finance minister Saada Mkuya said yesterday. She said her ministry has been ensuring that the CA ...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s72-c/mkuya0.jpg)
Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s640/mkuya0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jtGS0jt9aFI/Vfj6LunEYZI/AAAAAAAB9js/NhlKxDTeVKo/s640/Mkuya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNaVCB_zm-s/Vfj6M1QqtWI/AAAAAAAB9j8/bIySHscNbgo/s640/mkuya3.jpg)
10 years ago
AllAfrica.Com27 Jul
Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles
AllAfrica.com
Zanzibar — The Minister for Finance, Ms Saada Salum Mkuya and the Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, are among several Chama Cha Mapinduzi (CCM) candidates fighting tirelessly to be nominated as flag bearers on the ...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Waziri Saada Mkuya afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo na Mtaa wa Namanga
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s72-c/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s640/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdtMlpM2VU0/VdLBLMvGlwI/AAAAAAAB5J4/41vRMOXnpq0/s640/11863497_171157699881871_1940997383930891996_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hbYWSrMf8ro/VdLBLYSbGPI/AAAAAAAB5KQ/helcsR6eSyI/s640/11870944_171157679881873_3008769847260815270_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2q-J-fUF9Q/VdLBMLW77mI/AAAAAAAB5KA/xmMzyRdXjSo/s640/11880555_171157693215205_5254557743562192756_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOKRkZMHWUE/VdLBMbv3DWI/AAAAAAAB5KE/68n0omMlcpk/s640/11896219_171157696548538_4599662945498583312_n.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)
Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly wa katikati mwenye Tai ya rangi ya chungwa akiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa na ujumbe kutoka Tanzania( hawapokwenyepicha)mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wakiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC
Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog21 Apr
Mhe. Saada Mkuya akutana na Bi.Sayeh pamoja na MCC/Chamber of Commerce
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na ujumbe wa shirikala fedha la kimataifa (hawapo kwenye picha ). Kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile na kushoto ni Gavana wa Benki kuu Prof. Benno Ndulu , akifuatiwa na Gavana msaidizi wa Benki kuu ya Tanzania Bi. Natu Mwamba.
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika wa IMF kwa nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara Bi. Antoinette...
10 years ago
Dewji Blog12 Jun
Hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa na Mh. Saada Mkuya Salum bungeni iko hapa
Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum (MB) akionyesha kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mkoba wenye hotuba ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2015/16 .
Waziri wa Fedha Mh.Saada S.Mkuya (MB) akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2015/16.
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA – 2015-16 FINAL.doc
11 years ago
MichuziWaziri wa fedha Mhe.Saada Mkuya Kujibu Hoja za Wabunge jioni ya Leo