Waziri wa fedha Mhe.Saada Mkuya Kujibu Hoja za Wabunge jioni ya Leo
Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Mwingulu Nchemba kulia akijadiliana na Maofisa wa Wizara ya Fedha,wakati wakitoka kwenye Ukumbi wa Msekwa walikokuwa na kikao cha kuandaa majibu ya Hoja za Wabunge kwa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014-2015.Baada ya mjadala uliochukuwa takribani wiki nzima.Bajeti ya Serikali Ilisomwa na waziri wa Fedha Alhamisi iliyo[pita na Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya nakufuatiwa na uchangiwaji na mjadala kwa kuchangiwa na Wabunge mbalambali.
Waziri wa Fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tavPmNpAseA/VXRpSfZ7nzI/AAAAAAAHcwE/k_lHx38E_oI/s72-c/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHE. SAADA MKUYA SALUM (MB) ALIYOIWASILISHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tavPmNpAseA/VXRpSfZ7nzI/AAAAAAAHcwE/k_lHx38E_oI/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CAV5oqJXEMg/U8jVNkNMHtI/AAAAAAAF3R0/2TCmxGmNhzQ/s72-c/unnamed+(40).jpg)
WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA ATEMBELEA MANISPAA ZA ILALA, KINONDONI NA TEMEKE KUKAGUA UKUSANYAJI WA KODI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA SALUM MKUYA KATIK MKUTANO WA MAJUMUISHO NA IMF, BENKI YA DUNIA WASHINGTON DC MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQg5nHgm1YU/VThVNKUO2TI/AAAAAAAHSsQ/ZkcSx-Vy7Hk/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RSXewLRlyUs/VTNqk6Tvu7I/AAAAAAAHR9I/dbGAhIYs4fg/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na ujumbe wake akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Afrika, uongozi wa mfuko Changamoto za Milenia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RSXewLRlyUs/VTNqk6Tvu7I/AAAAAAAHR9I/dbGAhIYs4fg/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA BI.SAYEH NA VILEVILE AKUTANA NA MCC/CHAMBER OF COMMERCE
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s72-c/mkuya0.jpg)
Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s640/mkuya0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jtGS0jt9aFI/Vfj6LunEYZI/AAAAAAAB9js/NhlKxDTeVKo/s640/Mkuya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNaVCB_zm-s/Vfj6M1QqtWI/AAAAAAAB9j8/bIySHscNbgo/s640/mkuya3.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)
Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly wa katikati mwenye Tai ya rangi ya chungwa akiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa na ujumbe kutoka Tanzania( hawapokwenyepicha)mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wakiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC
Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri Saada Mkuya wakati alipokutana na taasisi mbalimbali za fedha za kimataifa Washington DC
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly walipokuwa wakijadiliana na kuangalia ni jinsi gani Tanzania imeweza kutekeleza sera za Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan...