SABABU 8 ZAFUTA UCHAGUZI ZANZIBAR!
![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL467YxjAQMymp-HBZHVDouerzp4Vq5Otx0**5OMIQuPCvh*mUD-74wbibuckjD17TkYBKgxg8eOJkNN4MGeoZP8/zec.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar Jecha Salum Jecha . MBAYA! Huku Watanzania wakiwa na shauku ya kujua mbivu na mbichi juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (Zec) imetangaza rasmi kuufuta uchaguzi huo na matokeo yake hadi pale itakapotangazwa upya huku sababu nane zikitajwa kusababisha. Akizungumza na waandishi wa habari jioni jana visiwani Zanzibar, mwenyekiti wa tume hiyo, Jecha Salum...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Sababu 8 za kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s72-c/am4-430x320.jpg)
TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s640/am4-430x320.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s72-c/20151028035057.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR YAFUTA UCHAGUZI WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s640/20151028035057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-er8jVRkg_7o/VjCprncR3wI/AAAAAAAIDKU/zN8pUewvZ6g/s640/20151028035057q.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MrQnzIPFK1w/VjCpsfCawUI/AAAAAAAIDKg/aahnc4w4iSk/s640/20151028035048z.jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Kenya na Tanzania zafuta machozi Cecafa
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
TUICO yataja sababu za kususia uchaguzi TUCTA
CHAMA Cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) kimeeleza sababu za kutoshiriki uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA). Akizungumza jana...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Dovutwa: Vijana msipigane kwa sababu ya uchaguzi
MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amewataka vijana kuacha kupigana kwa ajili ya uchaguzi ila mapambano yao wayaelekeze katika kupigania ardhi inayoporwa na kuwaacha maskini.