Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya Kasongo Mpinda 1945-2015

kasongo-mpindaNA VALERY KIYUNGU

KABLA majonzi, vilio na masikitiko ya tasnia ya muziki kumpoteza mtunzi wa wimbo uliojizolea umaarufu mkubwa ‘Jojina’, David Musa, aliyekuwa kiongozi wa bendi ya siku nyingi ya Safari Trippers hayajapoa, tasnia hiyo imempoteza mwanamuziki mwingine mkongwe, Kasongo Mpinda ‘Clayton’, aliyefariki juzi katika Hospitali ya Mwananyamala, Jijini Dar es Salaam, alikokuwa akisumbuliwa na maradhi ya kisukari na ganzi.

Mpinda alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Wazee Sugu, inayoongozwa na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kasongo Mpinda hatunaye

kASOMGONA VALERY KIYUNGU, DAR ES SALAAM

MWANAMUZIKI wa siku nyingi wa muziki wa dansi nchini, ambae alikuwa na Bendi ya Wazee Sugu inayoongozwa na nguli King Kikii, Kasongo Mpinda ‘Clayton’, amefariki dunia jana jioni.

Marehemu kabla kufikwa na umauti alikuwa mwanamuziki muimbaji wa kutumainiwa kwenye bendi hiyo kongwe, inayotamba na wimbo wa Kitambaa Cheupe. Mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa bendi ya Wazee Sugu King Kikii, amethibitisha ...

 

9 years ago

Michuzi

Tanzia: Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton hatunaye tena

Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton (anayeimba) ametutoka leo jioni baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kasongo atakumbukwa kama mwimbaji mwenye sauti ya kipekee toka alipoibukia ghorofa ya saba pale New Africa Hotel jijini Dar es salaam akiwa na MK Group, wana Ngulupa Tupa Tupa na baadaye Maquis du Zaire 'Wana Kamanyola' akikonga nyoyo washabiki wa muziki, na baadaye Wazee Sugu chini ya King Kikii. Badhi  ya nyimbo zilizompandisha chati Marehemu Kasongo ni 'SEYA' , 'ANGELOU', 'MUME WANGU...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa ukanda wa Temeke, Patrick Swai akizungumza na waandishi wa habari (hawapi pichani)wakati akizitangaza bar tano zilizofanikiwa kuingia fainali kwenye kinyang’anyiro cha shindano la uchomaji nyama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”,kwa mkoa wa Dar es salaam.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Massacres of 8 May 1945 Go Against Sense of History, Says Bouteflika


Massacres of 8 May 1945 Go Against Sense of History, Says Bouteflika
AllAfrica.com
Algiers — The massacres perpetrated by the French occupying forces on 8 May 1945 against the Algerian people constitute "one of the most painful chapter in our history as they go against the sense of the history, said Friday President of the Republic ...

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yarejea kipigo cha 1945

Ni miaka 70 imepita tangu Tanzania ipate kipigo kikubwa katika soka la kimataifa kwa kufungwa mabao 7-0.

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Safari ya Stars Morocco 2015

TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya Kocha Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij, inakabiliwa na mtihani mgumu wa kupigania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la...

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Urais 2015: Ukawa waanza safari

Wakati CCM ikisubiri Februari kufanya tathmini kuona kama baadhi ya wagombea wake wa urais wametekeleza masharti ya adhabu zao, washindani wao wa Ukawa, Jumanne ijayo watakutana kujadili mambo mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani