Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzia: Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton hatunaye tena

Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton (anayeimba) ametutoka leo jioni baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kasongo atakumbukwa kama mwimbaji mwenye sauti ya kipekee toka alipoibukia ghorofa ya saba pale New Africa Hotel jijini Dar es salaam akiwa na MK Group, wana Ngulupa Tupa Tupa na baadaye Maquis du Zaire 'Wana Kamanyola' akikonga nyoyo washabiki wa muziki, na baadaye Wazee Sugu chini ya King Kikii. Badhi  ya nyimbo zilizompandisha chati Marehemu Kasongo ni 'SEYA' , 'ANGELOU', 'MUME WANGU...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kasongo Mpinda hatunaye

kASOMGONA VALERY KIYUNGU, DAR ES SALAAM

MWANAMUZIKI wa siku nyingi wa muziki wa dansi nchini, ambae alikuwa na Bendi ya Wazee Sugu inayoongozwa na nguli King Kikii, Kasongo Mpinda ‘Clayton’, amefariki dunia jana jioni.

Marehemu kabla kufikwa na umauti alikuwa mwanamuziki muimbaji wa kutumainiwa kwenye bendi hiyo kongwe, inayotamba na wimbo wa Kitambaa Cheupe. Mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa bendi ya Wazee Sugu King Kikii, amethibitisha ...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI MKONGWE, SHEM IBRAHIM KARENGA HATUNAYE TENA

Shem Ibrahim Karenga enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI mkongwe mwenye umahiri wa kuimba na kucharaza gitaa kiongozi la Solo, Shem Ibrahim Karenga amefariki dunia leo akiwa katika Hospitali ya Amana  jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa. Wengi wanamfahamu Shem Karenga kupitia tungo zake mbalimbali zilizochangia kumpa umarufu, alizozifyatua akiwa na bendi hizi na zile, kama vile ‘Tucheze Segere’,...

 

9 years ago

Mtanzania

Safari ya Kasongo Mpinda 1945-2015

kasongo-mpindaNA VALERY KIYUNGU

KABLA majonzi, vilio na masikitiko ya tasnia ya muziki kumpoteza mtunzi wa wimbo uliojizolea umaarufu mkubwa ‘Jojina’, David Musa, aliyekuwa kiongozi wa bendi ya siku nyingi ya Safari Trippers hayajapoa, tasnia hiyo imempoteza mwanamuziki mwingine mkongwe, Kasongo Mpinda ‘Clayton’, aliyefariki juzi katika Hospitali ya Mwananyamala, Jijini Dar es Salaam, alikokuwa akisumbuliwa na maradhi ya kisukari na ganzi.

Mpinda alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Wazee Sugu, inayoongozwa na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Deo Filikunjombe hatunaye tena!

DEO 1

Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo Ludewa, Mh Deo Filikunjombe akiwapungia wafuasi wake enzi za uhai.

Aliyekuwa mgombea Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), Mh Deo Filikunjombe amefariki dunia.

Mh Deo Filikunjombe amefikwa na umauti baada ya helkopta aliyokuwa amepanda kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jimboni kwake kuanguka usiku wa kuamkia leo katika mbuga ya wanyama ya Selous.

Katika helkopta walikuwa watu wanne pamoja na rubani...

 

10 years ago

Michuzi

MPIGANAJI MWENZETU BERNARD RWEBANGILA HATUNAYE TENA

MWANAHABARI WA SIKU NYINGI NA ALIYEWAHI KUWA MPIGA PICHA WA KAMPUNI YA TSN (WACHAPISHAJI WA MAGAZETI YA DAILY NEWS,SUNDAY NEWS NA HABARI LEO), BW. BERNARD RWEBANGIRA (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAO MBEZI BEACH, JIJINI DAR ES SALAAM.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMINA


 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KEPTENI JOHN KOMBA HATUNAYE TENA

Hayati John Komba enzi za uhai wake
Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kepteni John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa kamili za msiba huu zitafuata punde

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ........: GEORGE TYSON HATUNAYE TENA,AFARIKI DUNIA AJALINI MKONI MOROGORO

TAARIFA ZILIZOIFIKIWA GLOBU YA JAMII USIKU HUU,ZINAELEZA KUWA ALIEKUWA MUONGOZAJI WA FILAMU NA VIPINDI MBALI MBALI VYA TELEVISHENI HAPA NCHINI,GEORGE TYSON (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA.
GEORGE TYSON AMEFIKWA NA MAUTI HAYO USIKU HUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA SANA KUTOKANA NA GARI WALIOLOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA MKOANI DODOMA KUJA DAR ES SALAAM,WAKITOKEA KWENYE HAFLA YA KUADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KIPINI CHA TELEVISHENI CHA THE MBONI SHOW,KUPINDUKA MARA KADHAA KUTOKANA NA KUPASUKA KWA MIPIRA...

 

9 years ago

Global Publishers

Tuzo ya clayton yamponza ester

ester4Na Deogratius Mongela

KIHEREHERE! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alijiponza baada ya kushambuliwa mtandaoni kisa kikiwa ni kumsifu muigizaji mwenzake wa kiume, Omary Clayton aliyeshinda tuzo ya kimataifa ijulikanayo kama California Online Viewers Choice.

Akipiga stori na gazeti hili, Ester alisema aliweka ujumbe na picha kwenye ukurasa wake wa Instagram kuipongeza filamu ya Dogo Masai kuchukua tuzo nje ya nchi sambamba na kumpongeza Omary, lakini kilichotibua hali ya hewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mtoto wa boksi’ hatunaye

Mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi akiwa na umri wa miezi tisa, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Taarifa za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani