Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPIGANAJI MWENZETU BERNARD RWEBANGILA HATUNAYE TENA

MWANAHABARI WA SIKU NYINGI NA ALIYEWAHI KUWA MPIGA PICHA WA KAMPUNI YA TSN (WACHAPISHAJI WA MAGAZETI YA DAILY NEWS,SUNDAY NEWS NA HABARI LEO), BW. BERNARD RWEBANGIRA (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAO MBEZI BEACH, JIJINI DAR ES SALAAM.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMINA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Buriani mpiganaji mwenzetu Max...

Maximilian John Ngube a.k.a.  'Max'  Na Muhidin Issa Michuzi Mkiwa katika kazi na kukuta kule kusukumana na hata kupigana makumbo na makelele hakujaanza, basi ujue hajafika bado.

Ila mara tu yeye akishatia mguu wake kwenye sehemu ya tukio ambayo wanahabari wapigapicha mmejipanga baada ya  kukubaliana wapi pa kusimama, lazima zogo liumuke.  Maana yeye ile  akifika tu hapo mahali (aghalabu alichelewa kufika kutokana na daima kuwa na kazi nyingi sehemu zingine kwa wakati mmoja) aidha...

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR

Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwili wa mwandishi wa zamani wa michezo, Innocent Munyuku aliyefariki dunia juzi, unaagwa leo Ijumaa kuanzia saa tano asubuhi hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Morogoro kwa mazishi.Pia mwili wa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki juzi utazikwa kesho Jumamosi makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam badala ya leo makaburi Sinza kama ilivyokuwa imetangazwa...

 

10 years ago

Michuzi

safari ya mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira


Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin.
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Deo Filikunjombe hatunaye tena!

DEO 1

Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo Ludewa, Mh Deo Filikunjombe akiwapungia wafuasi wake enzi za uhai.

Aliyekuwa mgombea Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), Mh Deo Filikunjombe amefariki dunia.

Mh Deo Filikunjombe amefikwa na umauti baada ya helkopta aliyokuwa amepanda kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jimboni kwake kuanguka usiku wa kuamkia leo katika mbuga ya wanyama ya Selous.

Katika helkopta walikuwa watu wanne pamoja na rubani...

 

9 years ago

Michuzi

Tanzia: Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton hatunaye tena

Mwanamuziki Kasongo Mpinda Clayton (anayeimba) ametutoka leo jioni baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kasongo atakumbukwa kama mwimbaji mwenye sauti ya kipekee toka alipoibukia ghorofa ya saba pale New Africa Hotel jijini Dar es salaam akiwa na MK Group, wana Ngulupa Tupa Tupa na baadaye Maquis du Zaire 'Wana Kamanyola' akikonga nyoyo washabiki wa muziki, na baadaye Wazee Sugu chini ya King Kikii. Badhi  ya nyimbo zilizompandisha chati Marehemu Kasongo ni 'SEYA' , 'ANGELOU', 'MUME WANGU...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI MKONGWE, SHEM IBRAHIM KARENGA HATUNAYE TENA

Shem Ibrahim Karenga enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI mkongwe mwenye umahiri wa kuimba na kucharaza gitaa kiongozi la Solo, Shem Ibrahim Karenga amefariki dunia leo akiwa katika Hospitali ya Amana  jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa. Wengi wanamfahamu Shem Karenga kupitia tungo zake mbalimbali zilizochangia kumpa umarufu, alizozifyatua akiwa na bendi hizi na zile, kama vile ‘Tucheze Segere’,...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KEPTENI JOHN KOMBA HATUNAYE TENA

Hayati John Komba enzi za uhai wake
Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kepteni John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa kamili za msiba huu zitafuata punde

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ........: GEORGE TYSON HATUNAYE TENA,AFARIKI DUNIA AJALINI MKONI MOROGORO

TAARIFA ZILIZOIFIKIWA GLOBU YA JAMII USIKU HUU,ZINAELEZA KUWA ALIEKUWA MUONGOZAJI WA FILAMU NA VIPINDI MBALI MBALI VYA TELEVISHENI HAPA NCHINI,GEORGE TYSON (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA.
GEORGE TYSON AMEFIKWA NA MAUTI HAYO USIKU HUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA SANA KUTOKANA NA GARI WALIOLOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA MKOANI DODOMA KUJA DAR ES SALAAM,WAKITOKEA KWENYE HAFLA YA KUADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KIPINI CHA TELEVISHENI CHA THE MBONI SHOW,KUPINDUKA MARA KADHAA KUTOKANA NA KUPASUKA KWA MIPIRA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mtoto wa boksi’ hatunaye

Mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi akiwa na umri wa miezi tisa, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Taarifa za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani