Buriani mpiganaji mwenzetu Max...
![](http://3.bp.blogspot.com/-_5DNIUsk7W8/U4OpR5rH_FI/AAAAAAAFlRo/s_uqaogPpAs/s72-c/maxi.jpg)
Maximilian John Ngube a.k.a. 'Max'
Na Muhidin Issa Michuzi
Mkiwa katika kazi na kukuta kule kusukumana na hata kupigana makumbo na makelele hakujaanza, basi ujue hajafika bado.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l2Y2-USpjRQ/VSTpf1yeFDI/AAAAAAAHPkQ/mOmvnRvO9Fw/s72-c/unnamed.jpg)
MPIGANAJI MWENZETU BERNARD RWEBANGILA HATUNAYE TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l2Y2-USpjRQ/VSTpf1yeFDI/AAAAAAAHPkQ/mOmvnRvO9Fw/s1600/unnamed.jpg)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMINA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XMkj5h93Djo/VVry_XY9YsI/AAAAAAAHYM0/h8DsUMdRFBc/s72-c/20150519003823.jpg)
BURIANI MPIGANAJI SAMUEL CHAMLOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XMkj5h93Djo/VVry_XY9YsI/AAAAAAAHYM0/h8DsUMdRFBc/s640/20150519003823.jpg)
Chamlomo alifariki muda mfupi baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
Timu nzima ya Globu ya Jamii inaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Wafanyakazi wote wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kumpoteza ndugu...
10 years ago
Michuzi21 Nov
MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR
Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwili wa mwandishi wa zamani wa michezo, Innocent Munyuku aliyefariki dunia juzi, unaagwa leo Ijumaa kuanzia saa tano asubuhi hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Morogoro kwa mazishi.Pia mwili wa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki juzi utazikwa kesho Jumamosi makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam badala ya leo makaburi Sinza kama ilivyokuwa imetangazwa...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri
 Nilipopata salamu za rambirambi za Rais Jakaya Kikwete akiomboleza kifo cha Meja Jenerali Muhidin Mfaume Kimario nilivuta kumbukumbu zangu za miaka tisa iliyopita, pale nilipofanya mahojiano naye mjini Dodoma Mei 1995, nikakumbuka mambo mengi juu ya mtu huyu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ejs5W3BQdwI/Vm7Mlb6rwpI/AAAAAAAAdlQ/lQPog0WYwo8/s72-c/IMG-20151214-WA0035.jpg)
KAPUMZIKE KWA AMANI MPAMBANAJI MWENZETU DOTTO MZAVA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ejs5W3BQdwI/Vm7Mlb6rwpI/AAAAAAAAdlQ/lQPog0WYwo8/s640/IMG-20151214-WA0035.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Bloggers Nchini, (TBN), ambao marehemu alikuwa ni mwanachama wake, Bw. Joackim Mushi amesema Dotto ambaye alikuwa akifanyia kazi Jamii Media (Wamiliki wa mtandao wa Jamii Forum, amefariki kwa ajali ya pikipiki ingawa haikuelezwa ajali hiyo imetokea maeneo gani hasa ya jiji la Dar es Salaam.
Bwana ametoa na Bwana...
10 years ago
Vijimambo19 Nov
KUNA MTANZANIA MWENZETU ANAHITAJI MSAADA MINNESOTA NCHINI MAREKANI
Mchungaji Anastasia (phD) aliugua akiwa Usariver Arusha kwa muda wa wiki kadhaa kabla ya kulazwa Hospitalini Seliani pale
Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September
2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,
Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...
Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September
2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,
Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...
11 years ago
MichuziMtanzania mwenzetu,elisha bahunde apata ajali na kuvunjika miguu yote miwili
Mtanzania Elisha Bahunde jina maarufu Eric ambaye siku ya Jumamosi Feb 15, 2014 alipata ajali Jimbo la Indiana iliyopelekea kukatika kwa miguu yote miwili na mkono wa kulia na baadae kuhamishiwa Jimbo la Maryland kwa matibabu zaidi kwa sasa yupo University Of Maryland Medical Center iliyopo 22 S Greene St, Baltimore, MD Ghorofa ya 6 chumba # 8 na anatumia jina la Elisha Bahunde.ama kweli hujafa hujaumbika na Mwenyezi Mungu ndiye mueza wa kila jambo,Mdau huyu wiki iliyopita alishiriki kwenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania