Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri
 Nilipopata salamu za rambirambi za Rais Jakaya Kikwete akiomboleza kifo cha Meja Jenerali Muhidin Mfaume Kimario nilivuta kumbukumbu zangu za miaka tisa iliyopita, pale nilipofanya mahojiano naye mjini Dodoma Mei 1995, nikakumbuka mambo mengi juu ya mtu huyu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
MWILI WA WAZIRI WA ZAMANI MEJA JENERALI KIMARIO UMEWASILI TAYARI KWA MAZISHI

Mwili wa aliyekuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya awamu ya kwanza na pili Meja Jenerali (mstaafu) Muhiddin Mfaume Kimario umewasili leo mchana kwa ndege ya shirika la Ethiopia kutoka nchini India alikokuwa akipata matibabu tayari kwa mazishi siku ya Jumamosi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Mwili wa Meja Jenerali Kimario uliwasili jana saa saba mchana kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JKNIA) na ...
11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
JK aongoza mazishi ya Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi na mikoa ya jirani katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Muhidin Mfaume Kimario...
11 years ago
Tanzania Daima07 Oct
JK aombeleza kifo cha Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi kutokana na kifo cha Meja Jenerali Muhidin Kimario kilichotokea jana nchini India...
11 years ago
Michuzi
Taarifa ya Kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume Kimario

Mwili wa marehemu utaagwa kesho tarehe 10 Oktoba, 2014 saa 4:00 asubuhi katika viwanja vya hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo na baadaye mwili utasafirishwa kwenda kwao Moshi, Mkoa wa...
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI


5 years ago
Michuzi
CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI

Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...
11 years ago
Michuzi
Buriani mpiganaji mwenzetu Max...

10 years ago
Michuzi
BURIANI MPIGANAJI SAMUEL CHAMLOMO

Chamlomo alifariki muda mfupi baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
Timu nzima ya Globu ya Jamii inaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Wafanyakazi wote wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kumpoteza ndugu...
11 years ago
Michuzi
JK AOMBOLEZA MISIBA YA BRIGEDIA JENERALI MUHIDIN KIMARIO NA DKT WILLIAM SHIJA
