JK aombeleza kifo cha Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi kutokana na kifo cha Meja Jenerali Muhidin Kimario kilichotokea jana nchini India...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
JK aongoza mazishi ya Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi na mikoa ya jirani katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Muhidin Mfaume Kimario...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri
10 years ago
Habarileo21 Oct
JK aomboleza kifo cha Meja Jenerali Lupogo
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi na pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange kuomboleza kifo cha Meja Jenerali Herman Lupogo aliyeaga dunia Jumapili ya Oktoba 19, 2014, akiwa na umri wa miaka 76 katika Hospitali Kuu ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam ambako alikuwa anapata matibabu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s72-c/a4.jpg)
Taarifa ya Kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume Kimario
![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s1600/a4.jpg)
Mwili wa marehemu utaagwa kesho tarehe 10 Oktoba, 2014 saa 4:00 asubuhi katika viwanja vya hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo na baadaye mwili utasafirishwa kwenda kwao Moshi, Mkoa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MQBa8Xc0lc8/VDaEHLdiIuI/AAAAAAAGoz4/4THKFD7RfMM/s72-c/New%2BPicture.png)
MWILI WA WAZIRI WA ZAMANI MEJA JENERALI KIMARIO UMEWASILI TAYARI KWA MAZISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MQBa8Xc0lc8/VDaEHLdiIuI/AAAAAAAGoz4/4THKFD7RfMM/s1600/New%2BPicture.png)
Mwili wa aliyekuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya awamu ya kwanza na pili Meja Jenerali (mstaafu) Muhiddin Mfaume Kimario umewasili leo mchana kwa ndege ya shirika la Ethiopia kutoka nchini India alikokuwa akipata matibabu tayari kwa mazishi siku ya Jumamosi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Mwili wa Meja Jenerali Kimario uliwasili jana saa saba mchana kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JKNIA) na ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vhVQVJNA_Po/VDm0hxyA2mI/AAAAAAAGpa4/H5P4wSRW7oY/s72-c/k9.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhVQVJNA_Po/VDm0hxyA2mI/AAAAAAAGpa4/H5P4wSRW7oY/s1600/k9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AcsvQUKGRsc/VDoUpAppzTI/AAAAAAAGpco/AzK0QZjoUi0/s1600/k23.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s640/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opr33pCVirQ/VDMkfTl0KKI/AAAAAAAGocg/1CNgMJWnJwQ/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA MISIBA YA BRIGEDIA JENERALI MUHIDIN KIMARIO NA DKT WILLIAM SHIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-opr33pCVirQ/VDMkfTl0KKI/AAAAAAAGocg/1CNgMJWnJwQ/s1600/download.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Oct
Kikwete aomboleza kifo cha Jenerali Makunda
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange kufuatia kifo cha Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Rowland Makunda.