RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhVQVJNA_Po/VDm0hxyA2mI/AAAAAAAGpa4/H5P4wSRW7oY/s72-c/k9.jpg)
Ma-Meja wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) huku wakisindikizwa Ma-Kanalki wakiwasili katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi Oktoba 11, 2o14
Rais kikwete akiwa na Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya (kushoto kwa Rais) na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt Ibrahim Msengi (kulia) na Meja Jenerali Ezekiel Kyunga, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia kwa Rais)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
JK aongoza mazishi ya Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi na mikoa ya jirani katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Muhidin Mfaume Kimario...
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO
PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s72-c/a4.jpg)
Taarifa ya Kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume Kimario
![](http://3.bp.blogspot.com/-oxr0ohxBulo/VDaKr8g6RbI/AAAAAAAGo0c/DckHUUPM3MI/s1600/a4.jpg)
Mwili wa marehemu utaagwa kesho tarehe 10 Oktoba, 2014 saa 4:00 asubuhi katika viwanja vya hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo na baadaye mwili utasafirishwa kwenda kwao Moshi, Mkoa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MQBa8Xc0lc8/VDaEHLdiIuI/AAAAAAAGoz4/4THKFD7RfMM/s72-c/New%2BPicture.png)
MWILI WA WAZIRI WA ZAMANI MEJA JENERALI KIMARIO UMEWASILI TAYARI KWA MAZISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MQBa8Xc0lc8/VDaEHLdiIuI/AAAAAAAGoz4/4THKFD7RfMM/s1600/New%2BPicture.png)
Mwili wa aliyekuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya awamu ya kwanza na pili Meja Jenerali (mstaafu) Muhiddin Mfaume Kimario umewasili leo mchana kwa ndege ya shirika la Ethiopia kutoka nchini India alikokuwa akipata matibabu tayari kwa mazishi siku ya Jumamosi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Mwili wa Meja Jenerali Kimario uliwasili jana saa saba mchana kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JKNIA) na ...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mkapa aongoza mazishi ya Meja Jenerali Lupogo
RAIS mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa jana aliwaongoza viongozi mbalimbali na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu Herman Lupogo kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g6fKLFdA3-yW3aTO-eJeK8*purfMAerzMHy8NL6I3HMDUlXI44-p7UstJL9JoQ6IfqxtuTBdcx3gAGDpezJ16p5/0L7C3019.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s72-c/0L7C3019.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN ISIDORE MFUSE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia3yN9zwyFg/VFUb7GwkjfI/AAAAAAADMCo/CRpjkk4w-_k/s1600/0L7C3019.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rPDpGKwWRcg/VFUb7z9z8AI/AAAAAAADMCw/dedQ-QOkElE/s1600/0L7C3060.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
JK aombeleza kifo cha Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi kutokana na kifo cha Meja Jenerali Muhidin Kimario kilichotokea jana nchini India...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri