BURIANI MPIGANAJI SAMUEL CHAMLOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XMkj5h93Djo/VVry_XY9YsI/AAAAAAAHYM0/h8DsUMdRFBc/s72-c/20150519003823.jpg)
Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini Dodoma jana.
Chamlomo alifariki muda mfupi baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
Timu nzima ya Globu ya Jamii inaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Wafanyakazi wote wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kumpoteza ndugu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H1DSVlfOabY/VVrmRPGZ0wI/AAAAAAAAdmQ/fjbMfTgs7Z4/s72-c/CHAMLOMO%2BSAMUEL.jpg)
SAMUEL CHAMLOMO WA TBC DODOMA AFARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-H1DSVlfOabY/VVrmRPGZ0wI/AAAAAAAAdmQ/fjbMfTgs7Z4/s640/CHAMLOMO%2BSAMUEL.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_5DNIUsk7W8/U4OpR5rH_FI/AAAAAAAFlRo/s_uqaogPpAs/s72-c/maxi.jpg)
Buriani mpiganaji mwenzetu Max...
![](http://3.bp.blogspot.com/-_5DNIUsk7W8/U4OpR5rH_FI/AAAAAAAFlRo/s_uqaogPpAs/s1600/maxi.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s72-c/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
BURIANI ROBIN WILLIAMS
![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s1600/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.
Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...
11 years ago
MichuziBURIANI ADAM KUAMBIANA
Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo.
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Buriani Mchungaji Mtikila
HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak
Mwandishi Wetu
11 years ago
Habarileo02 Jun
Buriani 'mtoto wa boksi'
MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Buriani Ariel Sharon