Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BURIANI MPIGANAJI SAMUEL CHAMLOMO

Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini Dodoma jana. 
Chamlomo alifariki muda mfupi baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
Timu nzima ya Globu ya Jamii inaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Wafanyakazi wote wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kumpoteza ndugu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SAMUEL CHAMLOMO WA TBC DODOMA AFARIKI

Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini Dodoma jana. 

 

11 years ago

Michuzi

Buriani mpiganaji mwenzetu Max...

Maximilian John Ngube a.k.a.  'Max'  Na Muhidin Issa Michuzi Mkiwa katika kazi na kukuta kule kusukumana na hata kupigana makumbo na makelele hakujaanza, basi ujue hajafika bado.

Ila mara tu yeye akishatia mguu wake kwenye sehemu ya tukio ambayo wanahabari wapigapicha mmejipanga baada ya  kukubaliana wapi pa kusimama, lazima zogo liumuke.  Maana yeye ile  akifika tu hapo mahali (aghalabu alichelewa kufika kutokana na daima kuwa na kazi nyingi sehemu zingine kwa wakati mmoja) aidha...

 

10 years ago

Mwananchi

Buriani Meja Jenerali Kimario: Mpiganaji, mtumishi na waziri

 Nilipopata salamu za rambirambi za Rais Jakaya Kikwete akiomboleza kifo cha Meja Jenerali Muhidin Mfaume Kimario nilivuta kumbukumbu zangu za miaka tisa iliyopita, pale nilipofanya mahojiano naye mjini Dodoma Mei 1995, nikakumbuka mambo mengi juu ya mtu huyu.

 

10 years ago

Michuzi

BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Oktoba  14,  mwaka jana  Uwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa  Mwalimu Julius   kambarage Nyerere.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na  Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa  Umoja wa  Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa. Kitabu hicho   kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui   kwa kushirikiana...

 

11 years ago

Michuzi

BURIANI ROBIN WILLIAMS


Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.

 

Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...

 

11 years ago

Michuzi

BURIANI ADAM KUAMBIANA





Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo. 
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Buriani Mchungaji Mtikila

HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Habarileo

Buriani 'mtoto wa boksi'

MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Buriani Ariel Sharon

Ibaada maalum ya aliyekuwa waziri mkuu wa Israel Ariel Sharon imefanyika nje ya jengo la bunge la Israel, mjini Jerusalem

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani