Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAGUDA AMUANDALIA KISOMO RECHO

ALIYEKUWA mchumba wa msanii wa filamu Bongo, marehemu Sheila Haule ‘Recho’, George Saguda amesema baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, sasa anajiandaa kwa ajili ya kisomo cha kumkumbuka mwenzake huyo. Marehemu 'Recho' na a liyekuwa mpenzi wake…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UCHUMBA WA RECHO, SAGUDA WASENGENYWA!

Stori: Brighton Masalu
UCHUMBA wa muda mrefu kati ya msanii wa filamu za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ na Saguda George ‘Polite’ umeanza kusengenywa na baadhi ya wadau wakidai umekuwa wa muda mrefu bila kuwepo kwa dalili yoyote ya kuoana. Rachel Haule ‘Recho’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, mmoja wa rafiki wa Recho ambaye pia ni msanii wa filamu (jina tunalo) alisema wasanii wenzake...

 

11 years ago

GPL

MZIMU WA RECHO WAMTESA SAGUDA

Stori: Erick Evarist WAKATI Arobaini ikitarajia kufanyika jana, mchumba wa marehemu Sheila Haule ‘Recho’, George Saguda ameeleza kuwa bado aliyekuwa mchumba wake huyo anamtesa kwa kumtokea mara kwa mara. Marehemu Sheila Haule ‘Recho’, akiwa na mpenzi wake George Saguda enzi za uhai wake. Akizungumza na mwanahabari wetu, Saguda alisema marehemu amekuwa akimtokea akiwa usingizini na kumsisitiza kuhusu...

 

10 years ago

GPL

RECHO AMTOKEA SAGUDA UPYA!

GEORGE Saguda ambaye mchumba wake, marehemu Rachel Haule ‘Recho’ wiki iliyopita alitimiza mwaka mmoja kaburini, anadai kutokewa na mzimu wake ukimueleza mambo mbalimbali hasa akiwa katika wakati mgumu. Akipiga stori na gazeti hili, Saguda alisema tangu alipofariki mchumba wake amekuwa akiishi kwa mateso kwani amejaribu kuwa na mwanamke mwingine ili kupoteza mawazo lakini imeshindikana. “Mzimu wa Recho hivi sasa...

 

10 years ago

GPL

SAGUDA AKABIDHI MALI ZA RECHO UKWENI

Stori: Shani Ramadhani
ALIYEKUWA mchumba wa marehemu Rachel Haule ‘Recho’, George Saguda amesema ameamua kupeleka mali zote za marehemu kwa ndugu zake ili wao wajue utaratibu wa kuzitumia. George Saguda akiwa na aliekuwa mchumba wake marehemu Rachel Haule ‘Recho’ Akizungumza na paparazi wetu, Saguda alisema kwa sasa hahusiki na suala la mirathi ya Recho japo alikuwa akiishi na marehemu kama mke wake...

 

11 years ago

GPL

MBOTO: SAGUDA ALIKIONA KIFO CHA RECHO

Stori: Shakoor Jongo KOMEDIAN mahiri Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ amefunguka kuwa Saguda alikijua kifo cha mpenzi wake, Sheila Haule ‘Recho’ kutokana na kauli zake alizokuwa akimwambia pindi alipokuwa akimuomba acheze filamu na mkewe kisha akafariki kabla haijatoka. Saguda akiwa na siamanzi baada ya kuondokewa na mkewe Recho Haule. Akizungumza katika mahojiano maalum aliyofanya na paparazi wa Global TV...

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA RECHO ZAMZUIA SAGUDA MAMBO YA MAPENZI

Stori: Gladness Mallya
ALIYEKUWA mchumba wa msanii wa filamu Bongo, marehemu Sheila Haule ‘Recho’,  George Saguda amefunguka kuwa picha za mwanadada huyo zimekuwa zikimfanya asiwe na hisia za kuwa na mwanamke mwingine. George Saguda akiwa na aliyekuwa mchumba wake marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Akipiga stori na gazeti hili hivi karibuni, Saguda alisema tangu mchumba wake huyo afariki dunia...

 

10 years ago

GPL

BIBI AMUANDALIA OBAMA UGALI, MBOGA ZA KIENYEJI

Mwandishi wetu LICHA ya Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi kusisitiza kuwa Rais Barack Obama hatatembelea Kijiji cha K’Ogelo, alikozaliwa baba yake mzazi, bibi yake, Mama Sarah Obama amesema atamuandalia chakula kizuri cha kiasili ukiwamo ugali na mboga za majani za kienyeji. ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1LEqlxf

 

10 years ago

Dewji Blog

JK amuandalia Rais wa Ujerumani dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku, Ikulu jijini Dar

Picha na 0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi  huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.

Picha na 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (wa pili kutoka kulia) akiwa na...

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi   huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani