Salamu za Bodi ya Filamu Tanzania katika msiba wa George Otieno Okumu
Katibu Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fisoo akisoma salamu za rambirambi wakati wa kuuaga mwili wa aliyekua mtayarishaji wa filamu nchini George Otieno Okumu “Tyson” katika viwanja vya Leaders’ Kinondoni. Tyson alifariki mwishoni mwa wiki iliyopita kwa ajali ya gari.
Ndugu zangu nashindwa hata niseme nini kutokana na mfululizo wa misiba ya wanatasnia wenzetu, nashindwa kueleza simanzi kubwa niliyonayo, nakosa la kuongea ninabaki kusema kazi ya Mungu haina makosa katika yeye tumeubwa na yote...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4UAnPs1U5qA/VZBjiMHkADI/AAAAAAAHlUY/iXI5ItlLtoo/s72-c/DCB0.jpg)
Wadau wa Filamu waipongeza Bodi ya Filamu Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-4UAnPs1U5qA/VZBjiMHkADI/AAAAAAAHlUY/iXI5ItlLtoo/s640/DCB0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQBWdauvSSA/VZBjieR77hI/AAAAAAAHlUU/u_1CqHFe5Qc/s640/DCB1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KcmNY6LNFldtS5zJWz2BliVhgCixVUVtqmCbG4gKYI3LyuB9caFGt*SB0XnfRyBs7cQGc8-7Rtn5W2EUTBJbtD-/IMG20140531WA0005.jpg)
KUTOKA KATIKA MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi31 May
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YggPED4*T7sOxD5Wed1pM-BQJ32-ys2wZvc4Ftv-Aghra1smsd5oIlvNruQQAln*GAkQ24OnXSKLTSPIiGOcpFk/11KUAGWATYSON12.jpg)
MWILI WA GEORGE OTIENO 'TYSON' WAANZA KUAGWA LEADERS CLUB
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MSIBA WA MTANGAZAJI WA ZAMANI WA RADIO TANZANIA MSHINDO MKEYENGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Katika salamu alizomtumia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar Es Salaam, Mheshimiwa Sofia Mjema leo, Jumanne, Mei 26, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa kifo cha Mzee...