Salasala wachachamaa
Wananchi wa Salasala Mbuyuni, Kata ya Wazo wilayani Kinondoni wamepinga uamuzi wa serikali yao ya mtaa kumpa kibali mwekezaji na kusababisha Barabara ya Livingstone, iliyokuwa ikitumika kwa miongo miwili, kushindwa kupitika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Ulanga wachachamaa
WANANCHI wa Tarafa ya Malinyi Wilayani ya Ulanga mkoani Morogoro, wametaka kufahamu hatua zilizochukuliwa na Serikali baada ya mauaji ya kupigwa risasi kwa raia yanayodaiwa kufanywa na askari watatu wa...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Wabunge Dar wachachamaa
10 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kalala ajisalimisha Best Records Salasala
MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Komandoo Hamza Kalala anatarajia kurekodi vibao vipya, baada ya kuingia katika studio ya Best Records ya Salasala, jijini Dar es Salaam huku akiahidi...
9 years ago
MichuziBOMOBOMOA SALASALA ILI KUPISHA UJENZI WA BOMBA LA MAJI -RUVU CHINI
10 years ago
GPLSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Salasala Vision Group wakabidhiwa hati za hekari 250 huko Fukayosi Bagamoyo na kuzindua tovuti
Afisa Mtendaji Mkuu EAG Group, Iman Kajula Wa Pili (kushoto) akipokea hati ya Kimila ya eneo walilonunua bagamoyo kwajili ya Jumuiya hiyo.
Jumuiya iliyoasisiwa na wakazi wa Kilima hewa Salasala jijini Dar es salaam likiwa na malengo ya kijamii na kiuchumi. Tangu kuasisisiwa SVG imetekeleza miradi Mingi kwenye eneo la Salasala ikiwemo kupanda miti zaidi ya 5,000, kutengeneza barabara, kutengeneza viwanja vya michezo na kulinda maeneo ya wazi, Ulinzi, kutengeneza gari la polisi na misaada ya...
10 years ago
MichuziSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO PIA YAZINDUA TOVUTI
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina
Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala, Golden Mbunda “ Godzilla” ambaye msanii huyo anajiita hivyo.
Akizungumza na mwandishi...