Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta asubiri tiketi ya CSKA Moscow

Mshambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta amesema amefuzu majaribio kwenye klabu ya CSKA Moscow ya Urusi ila anasubiri majibu ya lini atajiunga nayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Picha za Samatta katika majaribio CSKA Moscow na listi ya vilabu vingine vinavyomtaka

Pamoja na CSKA Moscow – timu nyingine ambazo zinatajwa kumtaka mshambuliaji huyo ni Inter Milan na Udinese za Italia, Atletico Madrid ya Spain, FC Basel ya Uswis na Kaiserslauten ya Ujerumani.Hatimaye nyota ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe Mbwana Samatta imeanza kung’ara katika anga ya kimataifa ya soka.
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba mshambuliaji huyo yupo kwenye majaribio katika klabu ya CSKA Moscow – moja ya klabu kubwa kabisa nchini...

 

10 years ago

BBC

CSKA Moscow 2-2 Man City

Manchester City surrender a two-goal lead to draw 2-2 at CSKA Moscow, with Ivorian Seydou Doumbia playing a key role.

 

10 years ago

BBC

Manchester City 1-2 CSKA Moscow

Ivory Coast's Seydou Doumbia scores twice for CSKA Moscow as they beat nine-man Manchester City 2-1 in the Champions League.

 

10 years ago

Mwananchi

Samatta aikosa CSKA

Mshambuliaji wa TP Mazembe na Taifa Stars, Mbwana Samatta ameshindwa jaribio la kucheza soka Ulaya kwenye klabu ya CSKA Moscow ya Russia baada ya ofa yao kushindikikana kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

 

10 years ago

StarTV

Manchester City wakubali kipigo kwa CSKA.

Safari ya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa barani Ulaya imeingia mikosi zaidi baada usiku wa kuamkia leo kukubali kugaragazwa nyumbani Etihad na Warusi wa CSKA Moscow na kuufanya kuwa usiku mbaya jijini Manchester.

 
Licha ya kuruhusu mabao mawili ya kipindi cha kwanza yaliyotiwa wavuni na Seydou Doumbia pia viungo wake muhimu Yaya Toure na Fernandinho walitolewa nje kwa kadi nyekundu na hivyo wataikosa mechi ngumu ijayo dhidi ya Bayern Munich.

 

Yaya Toure alisawazisha bao...

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA kuamua mechi ya Man City na CSKA

Kilabu ya soka nchini Uingereza Manchester City kubaini siku ya ijumaa kuhusu mechi ya yake na CSKA Moscow

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius asubiri hukumu

Jaji Thokozile Masipa hii leo atatoa hukumu dhidi ya kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha Oscar Pistorius huko Afrika Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa asubiri baraka za JK Bunge la Katiba

Ofisi ya Bunge Maalumu la Katiba imesema kuwa Mbunge Mteule wa Kalenga, Godfrey Mgimwa ataweza kushiriki katika vikao hivyo ikiwa Rais Jakaya Kikwete atawapa barua ya uteuzi wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Slaa asubiri majibu ya Askofu Gwajima

Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema anasubiri kwa hamu kujibiwa na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kama alivyotangaza kanisani kwake Jumapili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani