Samia awaonya madereva bodaboda.
Na Richard Makore 3rd September 2015 Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu, ameonya vijana waendesha bodaboda kuacha tabia ya kuwarubuni […]
The post Samia awaonya madereva bodaboda. appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Madereva 15 wa bodaboda mbaroni
11 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva 18 wa bodaboda kortini
MADEREVA 18 wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kupakia abiria bila leseni ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda
9 years ago
Habarileo05 Sep
Samia aahidi makubwa wa bodaboda
MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanzisha madawati maalumu katika Manispaa za Dar es Salaam kwa ajili ya kusajili madereva wa bodaboda na bajaji, iwapo chama chake kitachaguliwa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s72-c/23.jpg)
SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s320/23.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Apr
Madereva mabasi kama wa bodaboda
WAKATI ajali za barabarani zikiendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa na kuumiza vichwa vya Watanzania kuhusu suluhisho la ajali hizo, imefahamika moja ya tatizo sugu ni kukosekana kwa madereva wenye taaluma stahiki, ingawa wana leseni.
11 years ago
Habarileo09 Jul
Madereva 180 bodaboda rumande
KUNA vijana waendesha bodaboda 180 waliokamatwa jijini Dar es Salaam na sasa wapo mahabusu, imedaiwa. Wengine 400 wametozwa faini na wengine wamehukumiwa kwa kosa la kuingiza bodaboda katikati ya Jiji.
10 years ago
Habarileo02 Sep
Madereva bodaboda wafa ajalini
MWENDESHA pikipiki (bodaboda), Moshi Ramadhani (27) amekufa papo hapo huku abiria aliyekuwa amembeba ambaye ni Ofisa Utamaduni wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, amesagika mguu na kuvunjika mkono, baada ya kugongwa na basi.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
‘Nimenusurika kuuawa na madereva bodaboda’