Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti:Vitambulisho na mawakala — uchaguzi Zanzibar

Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC ikiwa tayari imeshakamilisha taratibu zake zote za uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo kesho kumekuwepo na malalamiko kwa vyama vya siasa kuhusiana na kutokupewa vitambulisho vya mawakala wa vyama watakaosimamia zoezi […]

The post Sauti:Vitambulisho na mawakala – uchaguzi Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Matayarisho ya uchaguzi Zanzibar

Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewaita wadau wa uchaguzi kuwaeleza ukamilishaji wa taratibu za uchaguzi ambazo zinakaribia kufikia ukingoni mnamo Octoba 25 mwaka huu, huku masuali kadhaa ya khofu na kasoro za uchaguzi huo […]

The post Sauti:Matayarisho ya uchaguzi Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha akito taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya majimbo ya uchaguzi ya Zanzibar. Kuona majimbo yote ya uchaguzi zanzibar, BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi 500 Zanzibar wapatiwa vitambulisho vya taifa

WATUMISHI 500 wa Wizara ya Afya Zanzibar wamepatiwa vitambulisho vya taifa. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Ofisi ya Zanzibar, Vuai Mussa Suleiman, alibainisha hayo alipozungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Habarileo

Utoaji vitambulisho vya Taifa wakamilika Dar, Zanzibar

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa NIDA, Thomas WilliamKAZI ya kuandikisha na kutoa vitambulisho vya Taifa, imekamilika Zanzibar na mkoa wa Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR YAFUTA UCHAGUZI WA ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka hapo itakapotangazwa tena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sauti za Busara Zanzibar

Mziki wa kizazi kipya umeanza kutambuliwa katika jukwaa la kimataifa kama tulivyobaini katika tamasha la sauti ya Busara

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi)

Sikiliza repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi) appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani