Watumishi 500 Zanzibar wapatiwa vitambulisho vya taifa
WATUMISHI 500 wa Wizara ya Afya Zanzibar wamepatiwa vitambulisho vya taifa. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Ofisi ya Zanzibar, Vuai Mussa Suleiman, alibainisha hayo alipozungumza na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Aug
Utoaji vitambulisho vya Taifa wakamilika Dar, Zanzibar
KAZI ya kuandikisha na kutoa vitambulisho vya Taifa, imekamilika Zanzibar na mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe
10 years ago
Habarileo03 Jun
Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa
WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s72-c/images.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wazinduliwa Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s1600/images.jpg)
Usajili na Utambuzi wa watu katika mkoa wa Morogoro umezinduliwa rasmi Septemba 20, 2014 na Mkuu wa Mkoa wa huo, Joel Bendera katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Morogoro.
Akizindua zoezi hilo aliwasisitiza wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, makatibu tawala wilaya na viongozi wote kufikia ngazi ya kijiji na mtaa kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kufanikisha usajili wa watu katika mkoa wake.
Alisema viongozi...
11 years ago
Habarileo10 Jul
‘Vitambulisho vya Taifa si mbadala wa kadi ya mpigakura’
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian Lubuva amesema vitambulisho vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) si mbadala wa kadi ya mpiga kura.
10 years ago
Vijimambo29 Mar
Wahamiaji haramu 15 wanaswa vitambulisho vya taifa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/uhamiaji-march29-2015.jpg)
Idara ya Uhamiaji mkoani Pwani imenasa majina 15 ya watu wanaodaiwa kuwa wahamiaji haramu waliojiandikisha kwenye Zoezi la Vitambulisho vya Taifa.
Afisa uhamiaji mkoani Pwani, Grace Hokororo, ameiambia NIPASHE kuwa tayari wamepata majina hayo ambapo hatua inayofuata ni kuwakamata na kuwahoji ili kupata uhalali wa uraia wao.
“Tutachukua maelezo yao tukiridhika kuwa si raia wa Tanzania tutawachukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwapeleka...