Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SBL waiunga mkono Wizara ya Afya kusambaza ujumbe kuhusu Covid-19

Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea sehemu ya vipeperushi vyenye ujumbe wa kuelimisha umma juu ya homa kali ya mapafu maarufu kama Covid 19 kutoka kwa Zaidan Wilfred ambaye ni afisa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. SBL imejitolea kuisaidia Serikali kusambaza vipeperushi hivyo nchi nzima.Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Maswa waiunga mkono TACOGA

SIKU chache baada ya Chama cha Wakulima wa Pamba (TACOGA) kuanza kukusanya saini za wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kwa lengo la kuwasilisha rasmi madai yao kwa serikali...

 

10 years ago

GPL

WIZARA YA AFYA UJUMBE WA EZRA MMEUCHUKULIAJE?

Kaimu Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bi. Regina Kikuli. NUKUU ya kusikitisha aliyoiacha mwanafunzi Ezra Gerald Wabamba aliyejinyonga katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera ilisomeka hivi:  “Haiwezekani binadamu kuhudumiwa kama mbwa, yaani nafika hospitali naeleza hali yangu halafu daktari ananiandikia kulazwa bila ya kupimwa, sasa sijui watatibu  nini? “Kwa kweli siwezi kuvumilia yaani wenzangu...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU MBALIMBALI WAKIWEMO VIONGOZI WA KITAIFA WAIUNGA MKONO JENGA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Alphayo Kidata akiunga mkono Jenga Foundation kwa kununua kikuku cha mkononi kulia ni Nassoro Basalama mmoja wa viongozi wa JENGA Foundation Nassoro Basalama akimvisha Kikuku cha mkononi Susie Nkurlu mmoja wa wahudhuriaji kwenye mkutano wa DICOTA 2014 yote ni kuunga mkono juhudi za Jenga Foundation. Mlimbwende wa mitindo Flaviana Matata akiunga mkono JENGA Foundation kwenye mkutano wa DICOTA 2014 uliofanyika Durham, North...

 

5 years ago

Michuzi

SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona

Ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kupambana na homa ya mapafu maarufu kama Corona virus, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeshirikiana na Wizaya ya Afya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kujikinga na virusi hivyo hatari
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika. Mwakilishi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Afya yatoa tamko kuhusu Kipindupindu

picha 1 (1)

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Kushoto) akitoa tamko juu ya ugojwa wa kipindupindu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam kulia ni Naibu waziri wa Wizara hiyo Dkt Hamisi Kigwangalla.

picha 9 (3)

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Katikati) akimjulia hali mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika kambi ya kipindupindu iliyopo Mburahati Jijini Dare s salaam.

picha no 7

Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yaonya kuhusu ugonjwa wa dengue nchini

>Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria.

 

11 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue

mg1

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.

Utangulizi

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani