SBL waiunga mkono Wizara ya Afya kusambaza ujumbe kuhusu Covid-19
Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea sehemu ya vipeperushi vyenye ujumbe wa kuelimisha umma juu ya homa kali ya mapafu maarufu kama Covid 19 kutoka kwa Zaidan Wilfred ambaye ni afisa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. SBL imejitolea kuisaidia Serikali kusambaza vipeperushi hivyo nchi nzima.
Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wakulima Maswa waiunga mkono TACOGA
SIKU chache baada ya Chama cha Wakulima wa Pamba (TACOGA) kuanza kukusanya saini za wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kwa lengo la kuwasilisha rasmi madai yao kwa serikali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYiQ2uV0A3uh0BLB*oSB09z9Q2ZBdKWtUTKuxfhM0vYBNb66VILPbX-CdmjlxZHW35LkBkL6aiXLQ56qaub8SpkL/Pichana1.jpg?width=650)
WIZARA YA AFYA UJUMBE WA EZRA MMEUCHUKULIAJE?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pVbpm0_wW3E/VDRT76Xiu9I/AAAAAAADI_Y/otfTFPmoPIs/s72-c/20141003_104837-1.jpg)
WATU MBALIMBALI WAKIWEMO VIONGOZI WA KITAIFA WAIUNGA MKONO JENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVbpm0_wW3E/VDRT76Xiu9I/AAAAAAADI_Y/otfTFPmoPIs/s1600/20141003_104837-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3pG41o0hAQ/VDRT784qR4I/AAAAAAADI_Q/2oZsD8NfZVQ/s1600/20141003_104935.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EIsCVHkR3AA/VDRT67ckjkI/AAAAAAADI_I/brIFUe4lMRE/s1600/20141004_002241.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lindi.jpg)
SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s640/Lindi.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vzlvz6kBlfY/XqfiW9iAbKI/AAAAAAALobs/9oQz_YXr6iQ-3938_Ky3wWKIGzYL6kjlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
5 years ago
Michuzi9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wizara ya Afya yatoa tamko kuhusu Kipindupindu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Kushoto) akitoa tamko juu ya ugojwa wa kipindupindu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam kulia ni Naibu waziri wa Wizara hiyo Dkt Hamisi Kigwangalla.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Katikati) akimjulia hali mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika kambi ya kipindupindu iliyopo Mburahati Jijini Dare s salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Wizara ya Afya yaonya kuhusu ugonjwa wa dengue nchini
11 years ago
Dewji Blog13 May
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...