Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima Maswa waiunga mkono TACOGA

SIKU chache baada ya Chama cha Wakulima wa Pamba (TACOGA) kuanza kukusanya saini za wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kwa lengo la kuwasilisha rasmi madai yao kwa serikali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATU MBALIMBALI WAKIWEMO VIONGOZI WA KITAIFA WAIUNGA MKONO JENGA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Alphayo Kidata akiunga mkono Jenga Foundation kwa kununua kikuku cha mkononi kulia ni Nassoro Basalama mmoja wa viongozi wa JENGA Foundation Nassoro Basalama akimvisha Kikuku cha mkononi Susie Nkurlu mmoja wa wahudhuriaji kwenye mkutano wa DICOTA 2014 yote ni kuunga mkono juhudi za Jenga Foundation. Mlimbwende wa mitindo Flaviana Matata akiunga mkono JENGA Foundation kwenye mkutano wa DICOTA 2014 uliofanyika Durham, North...

 

5 years ago

Michuzi

SBL waiunga mkono Wizara ya Afya kusambaza ujumbe kuhusu Covid-19

Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea sehemu ya vipeperushi vyenye ujumbe wa kuelimisha umma juu ya homa kali ya mapafu maarufu kama Covid 19 kutoka kwa Zaidan Wilfred ambaye ni afisa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. SBL imejitolea kuisaidia Serikali kusambaza vipeperushi hivyo nchi nzima.Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

9 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara achinjwa Maswa

MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswa wakataa viongozi wao

WANANCHI WA wa Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemkataa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo na Mwenyekiti wa Halmashauri, Stephen Dwese kwa madai ya kukwamisha maendeleo. Tukio hilo lilitokea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti Maswa hatihati kutekelezwa

BAJETI ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ya 2014/2015 iliyopitishwa na baraza la madiwani wa halmashauri hiyo huenda isifikie malengo kutokana na wakulima wa pamba kudai kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswa wataka Pinda amtimue mkurugenzi

WANANCHI wilayani Maswa, Simiyu, wamemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kumwondoa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Hilda Lauwo, kwa madai hana uwezo wa kuongoza halmashauri hiyo. Wananchi wamefikia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Maswa wamkataa Ofisa Elimu

WALIMU wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemtaka mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo kumwondoa Ofisa Elimu wa Shule za Msingi wilayani humo, Mabeyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Maswa wamjia juu mkurugenzi

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, wamemjia juu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo, wakimtaka atoe maelezo ni kwa nini anashindwa kuwaalika waandishi wa habari hasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani