Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU MBALIMBALI WAKIWEMO VIONGOZI WA KITAIFA WAIUNGA MKONO JENGA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Alphayo Kidata akiunga mkono Jenga Foundation kwa kununua kikuku cha mkononi kulia ni Nassoro Basalama mmoja wa viongozi wa JENGA Foundation Nassoro Basalama akimvisha Kikuku cha mkononi Susie Nkurlu mmoja wa wahudhuriaji kwenye mkutano wa DICOTA 2014 yote ni kuunga mkono juhudi za Jenga Foundation. Mlimbwende wa mitindo Flaviana Matata akiunga mkono JENGA Foundation kwenye mkutano wa DICOTA 2014 uliofanyika Durham, North...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa katika picha ya pamoja na Mchungaji Jesse Jackson, Mwanaharakati wa siku nyingi wa Haki na Usawa.Kushoto ni Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Afrika Kusini (Democratic Alliance) Mbali Ntuli.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na rais wa Nigeria Goodluck Jonathan .Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na Waziri mkuu wa Mauritius, Ramgoolam.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Maswa waiunga mkono TACOGA

SIKU chache baada ya Chama cha Wakulima wa Pamba (TACOGA) kuanza kukusanya saini za wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kwa lengo la kuwasilisha rasmi madai yao kwa serikali...

 

5 years ago

Michuzi

SBL waiunga mkono Wizara ya Afya kusambaza ujumbe kuhusu Covid-19

Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea sehemu ya vipeperushi vyenye ujumbe wa kuelimisha umma juu ya homa kali ya mapafu maarufu kama Covid 19 kutoka kwa Zaidan Wilfred ambaye ni afisa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. SBL imejitolea kuisaidia Serikali kusambaza vipeperushi hivyo nchi nzima.Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha (kushoto) akipokea...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI OMBENI SEFUE AIUNGA MKONO JENGA

Mmoja wa viongozi wa Jenga foundation Bw. Nassoro Basalama akimvalisha Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue  moja ya vitu vilivyokua vinauzwa kwenye mkutano wa DICOTA 2014 Durham, North Carolina kwenye meza ya JJENGA.

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA DMV YAUNGA MKONO MRADI WA MALARIA WA JENGA

Bwn. Nassoro Basalama Mkurugenzi wa JENGA Foundation akiwa na Mkewe walipohudhuria sherehe ya kuukaribisha mwaka 2015 DMV
Foundation ya JENGA yapokelewa na Jumuiya ya Washington, DC kwa mwamko mzuri wa lengo la kujishirikisha kusaidia nyumbani Tanzania katika masuala ya malaria. Mradi ambao ulielezewa na Mkurugenzi wa JENGA Bwn. Nassoro Bassalama kwa kina. Pia Mgen rasmi Balozi wa African Union Bi Amina S. Ali, alihamasishwa na JENGA juu ya mradi wa malaria na kuwasihi watanzania...

 

10 years ago

GPL

TALIBAN WAUA WATU 100 WAKIWEMO WATOTO 84 NCHINI PAKISTANI

Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa akipatiwa huduma ya kwanza. Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.…

 

11 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA SUMRY ILIYOUA WATU 19 WAKIWEMO ASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI

Basi la kampuni ya Sumry lenye namba za usajili, T 799 BET lililouwa watu 18 mkoani Singida. Gari la polisi likiwa limepakia maiti zaidi ya kumi zikipelekwa hospitali ya mkoa wa Singida kwa ajili ya kuhifadhiwa na kutambuliwa.…

 

10 years ago

Vijimambo

TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI

Majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma za kitabibu.Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa na Taliban akipatiwa huduma ya kwanza.Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika mitaa ya Jiji la Peshawar.Magari ya kubeba wagonjwa wakielekea eneo la tukio.Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa mwanafunzi mmoja aliyeuawa na Taliban.Wanajeshi wakiwasili eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Uungwaji mkono CCM waongezeka kitaifa

Uungwaji mkono wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeongezeka mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana, utafiti umebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani