Uungwaji mkono CCM waongezeka kitaifa
Uungwaji mkono wa Chama cha Mapinduzi (CCM) umeongezeka mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana, utafiti umebaini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pVbpm0_wW3E/VDRT76Xiu9I/AAAAAAADI_Y/otfTFPmoPIs/s72-c/20141003_104837-1.jpg)
WATU MBALIMBALI WAKIWEMO VIONGOZI WA KITAIFA WAIUNGA MKONO JENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVbpm0_wW3E/VDRT76Xiu9I/AAAAAAADI_Y/otfTFPmoPIs/s1600/20141003_104837-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3pG41o0hAQ/VDRT784qR4I/AAAAAAADI_Q/2oZsD8NfZVQ/s1600/20141003_104935.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EIsCVHkR3AA/VDRT67ckjkI/AAAAAAADI_I/brIFUe4lMRE/s1600/20141004_002241.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Feb
Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali ya Umoja Kitaifa yageuka shubiri kwa CCM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono
The post Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
NEC: Hatutambui ‘bao la mkono la CCM’
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wassira: Nitamuunga mkono yeyote wa CCM
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wassira amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na CCM kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, endapo nafasi hiyo haitaangukia mikononi mwake.
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Malaigwanani waunga mkono kusimikwa Joshua wa CCM
WAZEE wa jamii ya kifugaji wa kimasai (Malaigwanani) wa Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wameunga mkono kitendo cha wananchi wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa kumsimika Joshua Kuney kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hicho.
10 years ago
Habarileo06 Oct
CCM Mara yampongeza JK kuunga mkono BMK
MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kitendo chake cha kuunga mkono Bunge Maalum la Katiba wakati wote lilipokuwa linaendelea.