Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Scolari angry at claims Brazil can ‘choose’ next opponents

Brazil coach Luiz Felipe Scolari on Sunday hit back at claims by Netherlands coach Louis van Gaal that Fifa have manipulated the World Cup schedule in the hosts’ favour.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KOCHA WA BRAZIL FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

Luiz Felipe Scolari. KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa kuiongoza Brazil iliyoambulia nafasi ya nne katika muchuano hiyo iliyoandaliwa nyumbani kwao huku ikishuhudia kombe likienda kwa Ujerumani. ...

 

11 years ago

GPL

DUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL

Kocha mpya wa Brazil, Dunga. Mchezaji wa zamani wa Brazil, Carlos Caetano Bledorn Verri 'Dunga', amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Brazil baada ya kocha Luiz Felipe Scolari kujiuzulu. Dunga amepewa kikosi hicho kilichoboronga katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 iliyofanyika nyumbani kwao huku timu hiyo ikiambulia nafasi ya nne. Kikosi hicho pia kilipata dhahama baada ya kipigo cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi

Kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi kama meneja wa timu hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Vigogo wa soka Rio wamtema Scolari

Chama cha Soka Brazil (CBF) kimesema hakitampatia kocha wa Selecao, Luiz Felipe Scolari, mkataba mpya, vinaripoti vyombo vya habari nchini humo leo, masaa machache baada ya Ujerumani kutwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya 4.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Rio soccer bosses ditch ‘inelegant’ Scolari

Scolari said that he would let the CBF decide his fate after his team lost the game for third place 3-0 to the Netherlands on Saturday, and after being crushed by Germany in a humiliating 7-1 defeat on Tuesday.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Scolari to stay put till after #WorldCup despite calls to 'go to hell'

Scolari also tried to put a positive spin on Brazil's performance, pointing out the Selecao had reached the semi-finals for the first time since 2002.

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI

"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Rooney lashes out at media claims over future with England

England star Wayne Rooney hit back Tuesday at media suggestions that he could be dropped from the World Cup team after he was seen training with the squad’s substitutes.

 

10 years ago

Vijimambo

UK and international donors suspend Tanzania aid after corruption claims Payments of $490m frozen following claims that high-ranking officials siphoned off funds from the country’s central bank.

Donors to Tanzania’s general budget support programme include the UK, Canada, Denmark, the European Commission, Finland, Germany, Ireland, Japan, Norway, Sweden and the World Bank. Photograph: Daniel Hayduk/AFPInternational donors have suspended nearly $500m (£311m) in budget support to Tanzania in response to claims that senior government officials siphoned off funds from the country’s central bank under the guise of energy contracts.
The chair of Tanzania’s public accounts committee, Zitto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani