Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue ataka vyuo kupika wasomi

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amevitaka vyuo na taasisi za elimu kuhakikisha vinatoa mafunzo bora yanayoendana na mahitaji ya soko la ajira.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Balozi Sefue awafunda wasomi wa vyuo vikuu

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu kutovigeuza vyuo kuwa majukwaa ya kisiasa na mahali pa fujo badala yake watumie fursa waliyonayo kujipatia elimu, ujuzi na maarifa.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi vyuo vikuu wamkubali Magufuli

SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania limemwelezea mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli kuwa ana uwezo mkubwa wa kusimamia masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaifa, hivyo anafaa kupeperusha bendera ya CCM.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wasomi vyuo vikuu wamfagilia Profesa Tibaijuka


NA JESSICA KILEO
UMOJA wa Vyuo Vikuu nchini, umemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kupuuza watu wanaobeza makadirio ya wizara yake kwa mwaka 2014/2015 aliyowasilisha Bungeni hivi karibuni.
Mwakilishi wa umoja huo kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, Massoro Kivuga, alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dar es Salaam.
Kivuga alisema wamejifunza mambo mengi kutoka kwa waziri huyo shujaa na...

 

10 years ago

Habarileo

Sefue ataka simu kuripoti unyanyasaji

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, ametaka kuwepo kwa namba maalumu ya simu (hotline) itakayotumiwa na makatibu muhtasi kwa ajili ya kupeleka malalamiko dhidi ya unyanyasaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwijage ataka usalama vyuo vikuu

MBUNGE wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM), ametaka kuwepo kwa ulinzi wa uhakika katika maeneo ya vyuo vikuu nchini, ili kuondoa hofu ya kuvamiwa kwa wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka ada elekezi vyuo vikuu

MBUNGE wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage (CCM), ameitaka serikali kufuatilia ada kwenye vyuo vikuu binafsi kutokana na kutoza ada kubwa. Rage alisema hayo alipouliza swali bungeni jana. Akijibu swali...

 

10 years ago

Michuzi

NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)

Vyuo vilivyofutiwa usajili ni pamoja na Dar es Salaam College of Clinical Medicine cha jijini Dar es Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali, Ndatele School of Medical Laboratory Sciences cha Dar-es-Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali na Institute for Information Technology  cha jijini  Dar es Salaam pia chenye namba za usajili REG/EOS/014. 
Taassi/vyuo vilivyoshushwa hadhi  baada ya kushindwa kutiza mashart ni pamoja na Sura Technologies – Dar es Salaam,  Institute of...

 

10 years ago

GPL

NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)‏

HOTUBA YA KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) DKT ADOLF B. RUTAYUGA KUHUSU TAMKO LA BARAZA LA KUVIFUTIA USAJILI BAADHI YA VYUO NA KUVISHUSHA HADHI VINGINE - 24/06/2015 Ndugu waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ninayo furaha kubwa kuwakaribisha katika ofisi za Baraza. Lengo la kuwaita hapa leo ni kuwapa taarifa juu ya maamuzi yaliyofikiwa na Baraza ikiwa ni katika jitihada za...

 

9 years ago

Habarileo

Aua mke akimtuhumu kuchelewa kupika

JESHI la Polisi mkoani Manyara, linamtafuta Paulo Mahinda, mkazi wa kitongoji cha Ndaleta wilayani Kiteto mkoani humu kwa tuhuma za mauaji ya mkewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani