Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue ataka simu kuripoti unyanyasaji

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, ametaka kuwepo kwa namba maalumu ya simu (hotline) itakayotumiwa na makatibu muhtasi kwa ajili ya kupeleka malalamiko dhidi ya unyanyasaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TAMWA yawataka waandishi wa habari kujikita kuripoti unyanyasaji wa kijinsia

IMG_3162

Mkufunzi Wence Mushi akitoa elimu kwa wanahabari waliokutana mkoani Iringa.

Na Fredy Mgunda, Iringa

Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.

Msisitizo huo ulitolewa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa waandishi wa habari wa mikoa ya nyanda za juu kusini...

 

9 years ago

Habarileo

Sefue ataka vyuo kupika wasomi

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amevitaka vyuo na taasisi za elimu kuhakikisha vinatoa mafunzo bora yanayoendana na mahitaji ya soko la ajira.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ataka haki ugawaji nafasi kituo cha simu 2000

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka Manispaa ya Kinondoni kugawa nafasi za kufanyia biashara katika kituo kipya cha Daladala Simu 2000 kwa kuzingatia haki ili kuepuka misuguano. Mnyika, aliyasema...

 

5 years ago

Michuzi

MABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA CORONA

Na Munir  Shemweta, WANMM SIMIYU

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona.

Dkt Mabula alitoa tahadhari hiyo juzi wilayani Bariadi mkoani Simiyu alipozungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu akiwa katika ziara ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mdee kuripoti Polisi leo

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha),Halima Mdee.
Baada ya kukamatwa akifanya maandamano yenye nia kwenda Ikulu kumshinikiza Rais Kikwete kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee, anatarajiwa kuripoti leo katika Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Datr es Salaam.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Waandishi wazuiwa kuripoti kesi ya Uamsho

Dar es Salaam. Waandishi wa habari jana walizuiwa kuripoti kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 35 zaidi waagizwa kuripoti Thailand

Serikali mpya ya jeshi nchini Thailand imewaagiza watu 35 zaidi kuripoti mbele yake katika kipindi cha masaa kadhaa.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi 700 washindwa kuripoti shuleni

NA TWALAD SALUM, MISUNGWI

WANAFUNZI 712 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu Misungwi, mkoani Mwanza, bado hawajaanza masomo yao katika shule 23 za sekondari.

Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Misungwi, Tabu Makanga.

Alisema wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari ni 3,884 na kati ya hao, 700 hawajaripoti katika shule walizopangiwa, huku 12 wakiwa wamehamishiwa shule nyingine kwa taratibu za kisheria.

Alisema wavulana waliofaulu na kutakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani