NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YQnArqwUwRo/VYqcDdqlEPI/AAAAAAAHjWw/Liy8gOV3OfI/s72-c/001.DR.jpg)
Vyuo vilivyofutiwa usajili ni pamoja na Dar es Salaam College of Clinical Medicine cha jijini Dar es Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali, Ndatele School of Medical Laboratory Sciences cha Dar-es-Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali na Institute for Information Technology cha jijini Dar es Salaam pia chenye namba za usajili REG/EOS/014.
Taassi/vyuo vilivyoshushwa hadhi baada ya kushindwa kutiza mashart ni pamoja na Sura Technologies – Dar es Salaam, Institute of...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
10 years ago
StarTV23 Feb
NACTE yafuta usajili wa vyuo 13, 60 vyashushwa hadhi.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi NACTE limefuta usajili wa vyuo 13 na kuvishusha hadhi vyuo 60 ambavyo vimekiuka sheria ya usajili.
Vyuo vingine vimebainika kutoa mitaala isiyosajiliwa na vyuo hivyo na vingine kutokuwa na sifa za kuendesha mafunzo ya ufundi.
Baraza hilo lenye mamlaka ya kusimamia elimu ya ufundi nchini limesema bado linavifanyia uchunguzi vyuo vingi nchini ili kuona kama vina tija ya kuendelea kutoa elimu inayokidhi mahitaji ya soko...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Serikali yafuta vyuo vitatu
10 years ago
Mwananchi21 Apr
UDSM kumi bora vyuo vikuu Afrika
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Sua, vyuo sita vyaanzisha mradi
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
JKT ina vyuo sita vya ufundi
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) lina vyuo sita vinavyoendesha mafunzo ya ufundi stadi. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA SITA WA VYUO VIKUU MJINI ARUSHA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LDXJKwl6YI/U-vHeTHGw6I/AAAAAAAF_Sw/1QpUbgGhPkQ/s1600/unnamed%2B(11).jpg)