Sua, vyuo sita vyaanzisha mradi
 Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (Sua) kwa kushirikiana na vyuo sita kutoka nchi za Kenya,
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YQnArqwUwRo/VYqcDdqlEPI/AAAAAAAHjWw/Liy8gOV3OfI/s72-c/001.DR.jpg)
NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
Vyuo vilivyofutiwa usajili ni pamoja na Dar es Salaam College of Clinical Medicine cha jijini Dar es Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali, Ndatele School of Medical Laboratory Sciences cha Dar-es-Salaam kilichokuwa kimepatiwa usajili wa awali na Institute for Information Technology cha jijini Dar es Salaam pia chenye namba za usajili REG/EOS/014.
Taassi/vyuo vilivyoshushwa hadhi baada ya kushindwa kutiza mashart ni pamoja na Sura Technologies – Dar es Salaam, Institute of...
Taassi/vyuo vilivyoshushwa hadhi baada ya kushindwa kutiza mashart ni pamoja na Sura Technologies – Dar es Salaam, Institute of...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
HOTUBA YA KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) DKT ADOLF B. RUTAYUGA KUHUSU TAMKO LA BARAZA LA KUVIFUTIA USAJILI BAADHI YA VYUO NA KUVISHUSHA HADHI VINGINE - 24/06/2015 Ndugu waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ninayo furaha kubwa kuwakaribisha katika ofisi za Baraza. Lengo la kuwaita hapa leo ni kuwapa taarifa juu ya maamuzi yaliyofikiwa na Baraza ikiwa ni katika jitihada za...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
JKT ina vyuo sita vya ufundi
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) lina vyuo sita vinavyoendesha mafunzo ya ufundi stadi. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA SITA WA VYUO VIKUU MJINI ARUSHA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LDXJKwl6YI/U-vHeTHGw6I/AAAAAAAF_Sw/1QpUbgGhPkQ/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZC_MkxbF_Vs/VRHQcHAis6I/AAAAAAAHM-E/pxfBoSc0Wqg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
NEWS ALERT: MRADI WA BARABARA YA NJIA SITA KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA CHALINZE (KM 100) WAIVA
Tayari maandalizi ule mpango wa kujenga barabara ya njia sita (tatu kila upande) Dar es Salaam – Chalinze-Morogoro (km 200) Express Way umeiva ambapo awamu ya kwanza itahusisha barabara ya Dar es Salaam (Biti Titi Jnct) – Chalinze (km 100) Express Way kwa utaratibu wa Public Private. Barabara hiyo mbadala ambayo itakuwa ni ya kulipia itajengwa kwa njia sita (6 lanes). Barabara iliyopo sasa itaendelea kutoa huduma kwa wale ambao hawako tayari kutumia barabara ya kulipia. Habari njema ni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit -...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi nhawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
Kwa kuzingatia marekebisho ya Kanuni ya Ligi Daraja la Pili (SDL) yaliyofanywa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni, SDL kwa msimu wa 2015/2016 itachezwa katika makundi manne ya timu sita sita kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania