Serikali yafuta vyuo vitatu
Baraza la Taifa la Elimu la Ufundi (Nacte) limefuta usajili wa vyuo vitatu na kuvishusha hadhi vingine 16 kutokana na kukiuka masharti ya usajili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YQnArqwUwRo/VYqcDdqlEPI/AAAAAAAHjWw/Liy8gOV3OfI/s72-c/001.DR.jpg)
NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
Taassi/vyuo vilivyoshushwa hadhi baada ya kushindwa kutiza mashart ni pamoja na Sura Technologies – Dar es Salaam, Institute of...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NACTE YAVIFUTIA USAJILI VYUO VITATU (3) NA KUVISHUSHA HADHI VYUO KUMI NA SITA (16)
10 years ago
StarTV23 Feb
NACTE yafuta usajili wa vyuo 13, 60 vyashushwa hadhi.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi NACTE limefuta usajili wa vyuo 13 na kuvishusha hadhi vyuo 60 ambavyo vimekiuka sheria ya usajili.
Vyuo vingine vimebainika kutoa mitaala isiyosajiliwa na vyuo hivyo na vingine kutokuwa na sifa za kuendesha mafunzo ya ufundi.
Baraza hilo lenye mamlaka ya kusimamia elimu ya ufundi nchini limesema bado linavifanyia uchunguzi vyuo vingi nchini ili kuona kama vina tija ya kuendelea kutoa elimu inayokidhi mahitaji ya soko...
11 years ago
Mwananchi16 May
Serikali yafuta daraja la 4 kusomea ualimu
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Serikali yafuta umiliki wa mashamba ya wawekezaji
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yafuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru
Serikali imefuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa tanganyika na badala yake siku hiyo kwa mwaka huu itatumika kufanya usafi nchini kote kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Agizo la serikali la kufuta maadhimisho hayo mwaka huu, limetolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dakta john pombe magufuli, kupitia katibu mkuu kiongozi, ombeni sefue.
Hii ni mara ya kwanza kwa serikali kufanya hivyo katika siku ya uhuru ambayo huadhimishwa disemba tisa kila mwaka...
9 years ago
Habarileo23 Dec
Serikali yafuta ‘semina elekezi’ kwa madiwani
SERIKALI imesema mafunzo kwa ajili ya madiwani wote hayatakuwepo na badala yake wenyeviti na makamu wa wenyeviti kote nchini ndio watapatiwa mafunzo ya namna ya kusimamia halmashauri zao.
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Serikali yasikia kilio cha wabunge, yafuta misamaha ya kodi
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...