Serikali yafuta umiliki wa mashamba ya wawekezaji
>Serikali imefuta umiliki wa baadhi ya mashamba yaliyokuwa yanamilikiwa na wawekezaji na kuyakabidhi kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Mashamba ya Balali kufutiwa umiliki
MASHAMBA yanayodaiwa kumilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu nchini, hayati Daudi Balali yameridhiwa na Baraza la Madiwani wilayani Kilombero kufutiwa umiliki wake. Taarifa ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Daudi...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Serikali yafuta vyuo vitatu
11 years ago
Mwananchi16 May
Serikali yafuta daraja la 4 kusomea ualimu
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yafuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru
Serikali imefuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa tanganyika na badala yake siku hiyo kwa mwaka huu itatumika kufanya usafi nchini kote kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Agizo la serikali la kufuta maadhimisho hayo mwaka huu, limetolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dakta john pombe magufuli, kupitia katibu mkuu kiongozi, ombeni sefue.
Hii ni mara ya kwanza kwa serikali kufanya hivyo katika siku ya uhuru ambayo huadhimishwa disemba tisa kila mwaka...
9 years ago
Habarileo23 Dec
Serikali yafuta ‘semina elekezi’ kwa madiwani
SERIKALI imesema mafunzo kwa ajili ya madiwani wote hayatakuwepo na badala yake wenyeviti na makamu wa wenyeviti kote nchini ndio watapatiwa mafunzo ya namna ya kusimamia halmashauri zao.
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Serikali kuwabana waliohodhi viwanda, mashamba
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kinana: Serikali ilifanya kosa kubinafsisha mashamba