Serikali kuwabana waliohodhi viwanda, mashamba
Serikali imetoa siku 30 kwa wawekezaji walionunua viwanda na mashamba kuwasilisha mikataba yao kwenye Ofisi ya Msajili wa Hazina ili kuwabaini waliokiuka masharti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mikataba ya viwanda, mashamba kuchunguzwa
10 years ago
Mtanzania02 May
Serikali yaombwa kuwabana waajiri
Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali kuwabana madaktari inaowasomesha nje ya nchi
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Serikali yafuta umiliki wa mashamba ya wawekezaji
11 years ago
Habarileo17 Jun
Serikali yasisitiza kufutwa hati mashamba ya mkonge
SERIKALI imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi. Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, aliliambia Bunge jana kuwa tayari baadhi ya mashamba yamepelekwa Ofisi ya Rais kwa ajili ya kufutiwa hati miliki.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kinana: Serikali ilifanya kosa kubinafsisha mashamba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ-1iKB817Q/XutIBUSJvfI/AAAAAAALubE/V2dDvrhikgYwvh3d6c2tdasDRyVDe-EbACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B1.13.49%2BPM.jpeg)
WAVUNAJI WA MISITU KATIKA MASHAMBA YA SERIKALI KUPATIWA MKATABA WA MIAKA MITATU, MTAJI WA BIASHARA NA MASOKO YA MBAO
Prof. Silayo amesema hayo jana mjini Dodoma katika mkutano na wadau wa sekta ya...