Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Serikali ilifanya kosa kubinafsisha mashamba

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema ubinafsishaji mashamba uliofanywa na Serikali miaka ya nyuma, haukuwa na tija kwa wananchi hata kwa wakati huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue

Ugonjwa wa homa ya dengue ambao umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na kuathiri wilaya zake tatu za Temeke, Ilala na Kinondoni umezua hofu na taharuki kubwa kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yafuta umiliki wa mashamba ya wawekezaji

>Serikali imefuta umiliki wa baadhi ya mashamba yaliyokuwa yanamilikiwa na wawekezaji na kuyakabidhi kwa wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuwabana waliohodhi viwanda, mashamba

Serikali imetoa siku 30 kwa wawekezaji walionunua viwanda na mashamba kuwasilisha mikataba yao kwenye Ofisi ya Msajili wa Hazina ili kuwabaini waliokiuka masharti.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yasisitiza kufutwa hati mashamba ya mkonge

SERIKALI imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi. Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, aliliambia Bunge jana kuwa tayari baadhi ya mashamba yamepelekwa Ofisi ya Rais kwa ajili ya kufutiwa hati miliki.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndoto kubinafsisha karafuu yafutika

Ndoto za karafuu kubinafsishwa Zanzibar imetoweka baada ya Waziri wa Biashara ,Viwanda na Masoko, Nassor Ahmed Mazrui kuwasilisha muswada wa sheria unaoipa nguvu Serikali kudhibiti zao hilo.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO

Na Prisca Ulomi, WUUM, Iringa
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...

 

5 years ago

Michuzi

WAVUNAJI WA MISITU KATIKA MASHAMBA YA SERIKALI KUPATIWA MKATABA WA MIAKA MITATU, MTAJI WA BIASHARA NA MASOKO YA MBAO

KATIKA  kile alichoeleza kuwa ni kuimarisha sekta ya misitu ili iweze kutoa mchango unaostahili kwa jamii na taifa kwa ujumla, Kamishna Mhifadhi wa Misitu, Profesa Dos Santos Silayo amesema Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umeingia  makubaliano ya miaka mitatu ya upatikanaji wa malighafi ya miti, kutoa mitaji na kuwatafutia masoko ya mbao wafanyabiashara wanaovuna misitu katika mashamba ya miti ya serikali.

Prof. Silayo amesema hayo jana mjini Dodoma katika mkutano na wadau wa sekta ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani