Kinana: Serikali ilifanya kosa kubinafsisha mashamba
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema ubinafsishaji mashamba uliofanywa na Serikali miaka ya nyuma, haukuwa na tija kwa wananchi hata kwa wakati huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 May
Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Serikali yafuta umiliki wa mashamba ya wawekezaji
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Serikali kuwabana waliohodhi viwanda, mashamba
11 years ago
Habarileo17 Jun
Serikali yasisitiza kufutwa hati mashamba ya mkonge
SERIKALI imesisitiza kufuta baadhi ya hati miliki za mashamba ya mkonge katika Mkoa wa Tanga na kugawia wananchi. Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, aliliambia Bunge jana kuwa tayari baadhi ya mashamba yamepelekwa Ofisi ya Rais kwa ajili ya kufutiwa hati miliki.
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Ndoto kubinafsisha karafuu yafutika
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s72-c/SIMU.jpg)
SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s1600/SIMU.jpg)
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ-1iKB817Q/XutIBUSJvfI/AAAAAAALubE/V2dDvrhikgYwvh3d6c2tdasDRyVDe-EbACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B1.13.49%2BPM.jpeg)
WAVUNAJI WA MISITU KATIKA MASHAMBA YA SERIKALI KUPATIWA MKATABA WA MIAKA MITATU, MTAJI WA BIASHARA NA MASOKO YA MBAO
Prof. Silayo amesema hayo jana mjini Dodoma katika mkutano na wadau wa sekta ya...