Ndoto kubinafsisha karafuu yafutika
Ndoto za karafuu kubinafsishwa Zanzibar imetoweka baada ya Waziri wa Biashara ,Viwanda na Masoko, Nassor Ahmed Mazrui kuwasilisha muswada wa sheria unaoipa nguvu Serikali kudhibiti zao hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kinana: Serikali ilifanya kosa kubinafsisha mashamba
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema ubinafsishaji mashamba uliofanywa na Serikali miaka ya nyuma, haukuwa na tija kwa wananchi hata kwa wakati huo.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Karafuu ya magendo yakamatwa
 Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM)Kisiwani Pemba kimefanikiwa kukamata magunia 34 ya karafuu kavu yaliyokuwa katika harakati ya kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XZvnu4Sc_w8/U81I6TEFOJI/AAAAAAAF4bA/ptaDv302Y-4/s72-c/unnamed+(46).jpg)
WIZI WA KARAFUU MASHAMBANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZvnu4Sc_w8/U81I6TEFOJI/AAAAAAAF4bA/ptaDv302Y-4/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
KARAFUU CHAFU YAKAMATWA PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ityqxplv1XQ/VIskOwlJA6I/AAAAAAAG2v4/1J_hGy29MXU/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q8sBqSji1Ys/VIskPh-BzmI/AAAAAAAG2wI/se_8GrnBj0U/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wakulima uzeni karafuu ZSTC
ZANZIBAR ina visiwa vya Unguja na Pemba. Wakazi wake wanajishughulisha na uvuvi, ufugaji na wengine wamejielekeza katika kilimo cha karafuu. Karafuu ambayo ni muhimu katika kukuza uchumi, hivi sasa imepanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s72-c/20150812_104658.jpg)
KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s640/20150812_104658.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-THZQV1GgTxc/VcwlGM1v93I/AAAAAAAB4yI/4eQuRxoCpq8/s640/20150812_105029.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Shehena ya karafuu yakamatwa Pemba
Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM), kimekamata shehena ya makonyo na karafuu kavu iliyodaiwa kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo katika Bandari ya Milango Mikavu kisiwani hapa.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Dk Shein: Karafuu itamaliza umasikini Pemba
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kama atachaguliwa kuwa rais atahakikisha anapambana na umasikini kwa kuboresha kilimo cha karafuu.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Marashi ya Karafuu, je bado yapo Pemba?
Wakulima wa Karafuu Pemba wanasema wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania