Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Segun Odegbami ajitosa Urais Fifa

Mchezaji wa zamani wa wa Nigeria Segun Odegbami ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais katika chama cha soka duniani FIFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Mfalme ajitosa tena urais FIFA

Mwanamfalme wa Jordan Ali Bin Al-Hussain ametangaza kuwa atasimama kuwania nafasi ya Urasi wa Shirikisho la kandanda duniani FIFA kurithi nafasi ya Rais wa sasa anayestaafu Sepp Blatter.

 

9 years ago

BBC

Odegbami outlines his Fifa vision

Fifa presidential candidate Segun Odegbami tells BBC Sport he wants to close the gap between football's rich and poor.

 

9 years ago

BBC

Odegbami's Fifa bid unsuccessful

Nigerian Segun Odegbami fails to win the required support to be able to stand in February's Fifa presidential elections.

 

9 years ago

BBC

Nigeria's Odegbami unveils FIFA bid

Former Nigeria international Segun Odegbami announces his intention to become the next FIFA president.

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

10 years ago

Mwananchi

Monica Mbega ajitosa urais

Dodoma. Makada wa CCM, wameendelea kupigana vikumbo katika ofisi za makao makuu ya chama hicho mjini hapa kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea urais. Jana ilikuwa zamu ya Balozi Augustine Mahiga na Monica Mbega aliyejitosa kimya kimya.

 

11 years ago

Habarileo

Daktari ajitosa urais TUCTA

Dk Margareth Mtaki MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), Tawi la Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Dk Margareth Mtaki ameeleza sababu zake za kujitosa kuwania Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu ajitosa urais 2015

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akisalimiana na wananchi wake katika uwanja wa Ilongero Singida Vijijini, baada ya kumaliza kuhutubia jana. (Na Mpigapicha Wetu).MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya jana Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kutangaza rasmi nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani