Segun Odegbami ajitosa Urais Fifa
Mchezaji wa zamani wa wa Nigeria Segun Odegbami ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais katika chama cha soka duniani FIFA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mwana wa Mfalme ajitosa tena urais FIFA
9 years ago
BBCOdegbami outlines his Fifa vision
9 years ago
BBCOdegbami's Fifa bid unsuccessful
9 years ago
BBCNigeria's Odegbami unveils FIFA bid
10 years ago
VijimamboDk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Monica Mbega ajitosa urais
11 years ago
Habarileo26 Jul
Daktari ajitosa urais TUCTA
MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), Tawi la Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Dk Margareth Mtaki ameeleza sababu zake za kujitosa kuwania Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nyalandu ajitosa urais 2015
MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya jana Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kutangaza rasmi nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.