SEKTA YA UMMA YAOMBWA KUIMALISHA UBUNIFU KWENYE SAYANSI HAI
 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk. Hassan Mshinda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwenye semina ya siku mbili iliyohusu matumizi ya Sayansi na Teknolojia katika kuinua uchumi kupitia viwanda na uhifadhi wa mazingira na Sekta ya Umma kuimarisha ubunifu kwenye Sayansi hai.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s72-c/IMGL0341.jpg)
JK ALIPOFUNGUA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRRvOVie5Ak/VYvE5Gr3sgI/AAAAAAAHjsg/UeraZIJqVx0/s640/IMGL0341.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8BDfz3w-MJA/VYvG6erGEjI/AAAAAAAHjxk/dA_O2U0b5a8/s640/IMGL1813.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
JK afungua kongamano la kimataifa la sayansi, teknolojia na ubunifu jijini Dar leo
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati akifungua Kongamano la nne la Kimataifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Sayansi ya Jamii (REPOA), Profesa Samuel Wangwe akitoa hutuba mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa kongamano hilo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, (COSTECH), Dk.Hassan Mshinda akizungumza...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Ubunifu wa BRN wavutia wawekezaji sekta binafsi
Mkutano wa kwanza wa aina yake ulioandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umefanikiwa kuwakutanisha mahali pamoja wawekezaji wakubwa kutoka mataifa mbalimbali ili kujionea fursa za uwekezaji katika miradi mbalimbali iliyopewa kipaumbele katika Mpango huo.BRN ni Mpango ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania tangu Julai mosi, 2013 kwa lengo la kuchagua sekta chache za kipaumbele na kuweka mfumo madhubuti unaoweka malengo na muda wa utekelezaji wa kila mradi huku mawaziri husika wakiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xQfJUMjrhjA/VYqKK7-6ooI/AAAAAAAAGnM/cQdU1I9mhzs/s72-c/Danish%2BCoop.%2B5.6.15%2BDar-96.jpg)
DENMARK YAIMARISHA SEKTA YA UTAMADUNI NA UBUNIFU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xQfJUMjrhjA/VYqKK7-6ooI/AAAAAAAAGnM/cQdU1I9mhzs/s640/Danish%2BCoop.%2B5.6.15%2BDar-96.jpg)
“Bado tasnia ya sanaa na ubunifu ambayo...
10 years ago
MichuziKITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_OtleCoIhHQ/XvMxIh3FjUI/AAAAAAALvOs/rn4PFkjMPmMX37Mm8JZz5VUy4EGCj3OjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.30.35%2BPM.jpeg)
Sekta ya mawasiliano ya simu inavyoweza kuboresha ubunifu wa kiteknolojia Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-_OtleCoIhHQ/XvMxIh3FjUI/AAAAAAALvOs/rn4PFkjMPmMX37Mm8JZz5VUy4EGCj3OjgCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.30.35%2BPM.jpeg)
Katika miaka ya hivi karibuni serikali ya Tanzania ikishirikiana na sekta binafsi imechukua hatua mbalimbali kuimarisha uchumi. Nyingi ya juhudi hizi ni sehemu ya mpango wa dira ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wakati ya viwanda ifikapo mwaka 2025.
Dira hii inaonyesha mwelekeo wa wapi nchi inakusudia kufika ifikapo mwaka 2025. Moja ya malengo makubwa ya dira hiyo ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na uchumi imara, shindani na stahimilivu.
Kuwekeza katika miundombinu ni...
10 years ago
MichuziNHIF YAZOA VIKOMBE VYA UBUNIFU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10