semina kubwa ya neno la Mungu kutoka kwa DANIEL MOSES KULOLA -DALLAS TEXAS,
Napenda kupitia blog hii ya jamii kuwakaribisha watu wote katika jiji hili la Dallas,Texas katika semina kubwa ya neno la Mungu itakayofanyika katika jiji letu. Mtumishi wa Mungu anaeheshimika ndani na nje ya nchi yetu Dr.Daniel Moses Kulola ndie atakae tuhudumia.
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B_gBIAJLuqA/U-BUu2JudvI/AAAAAAAF9M8/SUDRY5nY0_I/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nNFfIoOjzFw/VOvbmhFByRI/AAAAAAAHFgM/XCM8g505bnM/s72-c/IMG-20150223-WA0004.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-05T3XaviK4E/VOs9qYUcwQI/AAAAAAAAbH4/ZmgNgrL7Eg8/s72-c/IMG-20150223-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xTVUEvCJaEY/U3UpURYRqTI/AAAAAAAFh-o/gX-0MIa-FC8/s72-c/unnamed+(90).jpg)
BISHOP MABOYA KUHUBIRI NENO KATIKA JIJI LA DALLAS,TEXAS USA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xTVUEvCJaEY/U3UpURYRqTI/AAAAAAAFh-o/gX-0MIa-FC8/s1600/unnamed+(90).jpg)
Siku: Tarehe 16-18 (Friday-Sunday) Time:Friday ni 6:00pm ...
10 years ago
Michuzi05 Feb
TAMASHA KUBWA LA UIMBAJI KATIKA JIJI LA DALLAS-TEXAS
10 years ago
Vijimambo29 Oct
Semina ya Neno la Mungu.
(Grace gwajima ni mke wa Josephat Gwajima ambaye ni askofu na mchungaji kiongozi wa kanisa)
Kutakuwa na maombi kwa watu wenye mahitaji mbali mbali.
Muda: Saa 10 jioni mpaka saa 1 usiku. Jumamosi , 1st November1 , 2014
Mahala: Hampton Inn 9670 Baltimore Ave, College Park. Maryland.
Pia kutakuwa na viburudisho...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vQ8tM-JYLc0/VTTkXbtlebI/AAAAAAAHSGI/7SHPDIdQAqU/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Semina ya Texas Karate Black Belts yafanyika Houston, Texas
![](http://3.bp.blogspot.com/-vQ8tM-JYLc0/VTTkXbtlebI/AAAAAAAHSGI/7SHPDIdQAqU/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
Sensei Rumadha Fundi, ni mmoja ya wawakilishi wa Goju Ryu Jundokan, atayoiwakilisha Tanzania kwenye msafara huo.. Baada ya takriban...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-83824McVjRY/VZ1y-M8ndhI/AAAAAAADw8U/_FbIZvLFnKM/s72-c/LUKA%2B%25283%2529.jpg)
UKODAK MOMENT DALLAS, TEXAS
![](http://3.bp.blogspot.com/-83824McVjRY/VZ1y-M8ndhI/AAAAAAADw8U/_FbIZvLFnKM/s640/LUKA%2B%25283%2529.jpg)
Mshereheshaji Sunday Simba Shomari aka Triple S (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa ndani ya mgahawa wa Hotel ya Westin iliyopo mtaa wa Legacy Dr. jijini Dallas jimbo la Texas siku ya Jumapili July 5, 2015 wakipata kifungua kinywa baada ya kazi nzito ya kusherehesha na kuburudisha sherehe ya harusi ya Sandra na George iliyofanyika mjini humo siku ya Jumamosi July 4, 2015.