Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA NENO LA MUNGU KUTOKA KWA MWAL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

semina kubwa ya neno la Mungu kutoka kwa DANIEL MOSES KULOLA -DALLAS TEXAS,

Napenda kupitia blog hii ya jamii kuwakaribisha watu wote katika jiji hili la Dallas,Texas katika semina kubwa ya neno la Mungu itakayofanyika katika jiji letu. Mtumishi wa Mungu anaeheshimika ndani na nje ya nchi yetu Dr.Daniel Moses Kulola ndie atakae tuhudumia. 
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa  sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...

 

10 years ago

Vijimambo

Semina ya Neno la Mungu.

Mhubiri:       Mchungaji Grace Gwajima kutoka Glory of Christ Church Tanzania

(Ufufuo na Uzima)


(Grace gwajima ni mke wa Josephat Gwajima ambaye ni askofu na mchungaji kiongozi wa kanisa)


Kutakuwa na maombi kwa watu wenye mahitaji mbali mbali.


Muda:            Saa  10 jioni mpaka saa 1 usiku.

Jumamosi , 1st November1 , 2014


Mahala:         Hampton Inn

                        9670 Baltimore Ave, College Park.  Maryland.


                       

                        Pia kutakuwa na viburudisho...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hili Ndilo Neno la Leo Kutoka Kwa JB

Kazi yoyote unayoifanya kama utaipenda na kuweka moyo wako hapo..kisha ukaweka bidii na kujituma una asilimia kubwa ya kufanikiwa...maisha ya misheni town kwa miaka hii inayo kuja yanaweza kukuweka pabaya...Mungu akubariki...hili ndilo neno la leo toka kwa mtumishi wa bwana...jb....

Jacob Stephen ‘JB’on instagram

 

10 years ago

Bongo Movies

Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”

Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.

By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kupata Nafuu, Hili ndilo Neno la Shukrani Kutoka kwa Wastara

“Shukrani kwako uliyeniumba na ukanipa pumzi ya bule bila kukulipa chochote. Asante kwa wale wote wenye kuniombea mema na kunitakia mafanikio.  Asante pia kwa wale wenye kuniombea mabaya mnanipa changamoto ambayo inanifanya nikaze buti kusaka mafanikio kwa kujua sio wote wanaonipenda nasio wote watalia  leo nikianguka kimaisha au kufa asante kwa mnaonipa ushauri . Asante mnaonifariji naamini bila watu hakuna mtu mimi ni mtu nyinyi ni watu naendelea vyema na mtaendelea kupata huduma zangu za...

 

10 years ago

Vijimambo

MANA CONFERENCE THIS WEEKEND: MWALIMU MWAKASEGE NA DIANA MWAKASEGE WATAKUA DMV


Friday 6pm to 10pmSaturday 8am to 10pm Sunday 8am to 1pm
Please call the number on the flier for more information 

 

11 years ago

Michuzi

masanja mkandamizaji azidi kuchanja mbuga akihubiri neno la Mungu

 Muigizaji  wa kundi la vichekesho la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa na wachezaji wake katika moja ya kazi zake za kuimba injili na kuhubiri neno la Mungu jijini Dar es salaam kwa mafanikio makubwa.  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akihubiri neno la Bwana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani