TAMASHA KUBWA LA UIMBAJI KATIKA JIJI LA DALLAS-TEXAS
Kupitia mtandao huu wa jamii, ninayoheshima kuwakaribisha watu wote kutoka jiji hili la Dallas na vitongoji vyake katika TAMASHA KUBWA LA UIMBAJI litakalofanyika katika mji wetu.Tamasha hili litatanguliwa na chakula cha pamoja saa kumi na moja kamili mpaka saa kumi na mbili jioni.Karibuni sana.Pastor Absalom
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xTVUEvCJaEY/U3UpURYRqTI/AAAAAAAFh-o/gX-0MIa-FC8/s72-c/unnamed+(90).jpg)
BISHOP MABOYA KUHUBIRI NENO KATIKA JIJI LA DALLAS,TEXAS USA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xTVUEvCJaEY/U3UpURYRqTI/AAAAAAAFh-o/gX-0MIa-FC8/s1600/unnamed+(90).jpg)
Siku: Tarehe 16-18 (Friday-Sunday) Time:Friday ni 6:00pm ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B_gBIAJLuqA/U-BUu2JudvI/AAAAAAAF9M8/SUDRY5nY0_I/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Dec
semina kubwa ya neno la Mungu kutoka kwa DANIEL MOSES KULOLA -DALLAS TEXAS,
Napenda kupitia blog hii ya jamii kuwakaribisha watu wote katika jiji hili la Dallas,Texas katika semina kubwa ya neno la Mungu itakayofanyika katika jiji letu. Mtumishi wa Mungu anaeheshimika ndani na nje ya nchi yetu Dr.Daniel Moses Kulola ndie atakae tuhudumia.
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-83824McVjRY/VZ1y-M8ndhI/AAAAAAADw8U/_FbIZvLFnKM/s72-c/LUKA%2B%25283%2529.jpg)
UKODAK MOMENT DALLAS, TEXAS
![](http://3.bp.blogspot.com/-83824McVjRY/VZ1y-M8ndhI/AAAAAAADw8U/_FbIZvLFnKM/s640/LUKA%2B%25283%2529.jpg)
Mshereheshaji Sunday Simba Shomari aka Triple S (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa ndani ya mgahawa wa Hotel ya Westin iliyopo mtaa wa Legacy Dr. jijini Dallas jimbo la Texas siku ya Jumapili July 5, 2015 wakipata kifungua kinywa baada ya kazi nzito ya kusherehesha na kuburudisha sherehe ya harusi ya Sandra na George iliyofanyika mjini humo siku ya Jumamosi July 4, 2015.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yIsLTLt_Qcg/VZyVattG7UI/AAAAAAADw58/Opvatnh3NLk/s72-c/d1c1733852dda3f64dc0c4e3ebbe8f29%2B%25282%2529.jpg)
PICHA YA PAMOJA NDANI YA DALLAS, TEXAS
![](http://1.bp.blogspot.com/-yIsLTLt_Qcg/VZyVattG7UI/AAAAAAADw58/Opvatnh3NLk/s640/d1c1733852dda3f64dc0c4e3ebbe8f29%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboNDOA YA SUSAN NA GEORGE DALLAS, TEXAS
Hapa ndipo palipofungiwa ndoa ya Sandra na George ndani ya Hotel ya Westin iliyopo Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4th, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia.
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA HARUSI YA SANDRA NA GEORGE DALLAS, TEXAS.
10 years ago
VijimamboKANISA LA UMOJA DALLAS TEXAS - JULAI 19, 2015
10 years ago
VijimamboVIJIMAMBO YAKUTANA NA WADAU WAKE DALLAS, TEXAS
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania