Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA SHIGONGO ILIVYOHITIMISHWA KWA SHAMRA KIBAO

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers  Ltd akihojiwa na wanahabari katika hitimisho lake kuhusu  semina ujasiriamali kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Tandale. Shigongo akielezea namna semina hiyo itakavyowanufaisha wengi. Diamond akitoa burudani baada ya kuzungumza na wakazi wa Tandale.……

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MGAHAWA WA BRAKE POINT CANIVOR WAZINDULIWA KWA SHAMRA KIBAO

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mgahawa wa Brake Point Canivor, Daudi Machumu,(mwenye shati la drafti)  akiwa kwenye pozi na wadau wa bia ya Windhoek na wengineo.…

 

10 years ago

GPL

WASTARA ASHEREHEKEA ‘BETHIDEI’ YAKE KWA SHAMRA KIBAO

Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya Wastara. Meneja wa Wastara, Bondi Bin Sinan, akimpa zawadi ya kuzaliwa kwake. Wastara akiwa na mwanaye wa pili aitwaye Farees.…

 

9 years ago

GPL

SHIGONGO ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TCRA SACCOS

Eric Shigongo akifundisha somo la Sheria 10 zilizothibitishwa za jinsi ya kutoka kwenye umasikini hadi mafanikio kwa wanachama wa TCRA Saccos. Baadhi ya wafanyakazi na wanachama wa TCRA Saccos wakimsikiliza kwa makini somo la…

 

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana alakiwa kwa shamra shamra za sungusungu jimbo la Kwimba

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Kikundi cha Ulinzi wa Jadi cha Sungusungu, alipowasili  katika Kijiji cha Hungumalwa njaia panda ya Mwamashinga alipoanza ziara Jimbo la Kwimba, mkoani Mwanza, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza  kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

 Komredi Kinana akivishwa kofia ya jadi ya Sungusungu wakati wa mapokezi wilayani Kwimba.

 

10 years ago

GPL

KOMREDI KINANA ALAKIWA KWA SHAMRA SHAMRA ZA SUNGUSUNGU JIMBO LA KWIMBA‏

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Kikundi cha Ulinzi wa Jadi cha Sungusungu, alipowasili  katika Kijiji cha Hungumalwa njaia panda ya Mwamashinga alipoanza ziara Jimbo la Kwimba, mkoani Mwanza, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza  kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
 Komredi Kinana akivishwa kofia ya jadi ya Sungusungu wakati wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi wa mkoa wa Lindi wajitokeza kwa wingi usiku wa shamra shamra za “Twende na Membe”

Shamra shamra za kutangaza nia ya kuwania urais zaendelea kunoga mjini Lindi ambapo leo June 6 kuamkia June 7, 2015 ambapo Mheshimiwa Bernard Membe atakuwa anatangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Wananchi wamejitokeza kwa wingi huku msanii mzee Yusuph na kikundi cha ngoma ya Deda wakitoa burudani ya kijadi.

Wananchi waliojitokeza katika Shamra Shamra za kumpokea kesho Mheshimiwa Bernard Membe wakati atakapotangaza nia ya Urais 2015.

IMG_1957 IMG_2037 IMG_2047 Mfalme wa...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WA MKOA WA LINDI WAJITOKEZA KWA WINGI USIKU WA SHAMRA SHAMRA ZA TWENDE NA MEMBE‏

Shamra shamra za kutangaza nia ya kuwania urais zaendelea kunoga mjini Lindi ambapo leo June 6 kuamkia June 7, 2015 ambapo Mheshimiwa Bernard Membe atakuwa anatangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Wananchi wamejitokeza kwa wingi huku msanii mzee Yusuph na kikundi cha ngoma ya Deda wakitoa burudani ya kijadi.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani